July 10, 2025

Mwanahalisi Online

Habari za Uhakika

Matokeo ya kitado cha sita ufaulu kuongezeka

 

SAID Mohammed, Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania ( NECTA) ametangaza matokeo ya kidato cha sita leo tarehe 7 Julai 2025 visiwani Zanzibar ambapo kati ya watahiniwa shule waliofaulu ni 125 779 sawa na 99.95% ya watahiniwa wenye matokeo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). 

Mohammed amesema watahiniwa walioshindwa mtihani ni 68 sawa na 0.05% mwaka 2024 watahiniwa 103.252 sawa na 99.92% ya watahiniwa wa shule walifaulu hivyo ufaulu wa watahiniwa wa shule umeongezeka kwa asilimia 0.03% ukilinganishwa na mwaka 2024.

KUANGALIA MATOKEO INGIA HAPA

About The Author

error: Content is protected !!