
Meridianbet inakuletea nafasi adhimu ya kubadilisha burudani yako kuwa ushindi halisi. Kuanzia tarehe 1 hadi 30 Juni, kila Jumatatu washindi wawili watapewa simu mpya za Samsung A25 kwa kushiriki kwenye mchezo wa Super Heli, moja ya michezo ya kasino mtandaoni yenye msisimko mkubwa Zaidi kutoka meridianbet.
Super Heli ni Zaidi ya starehe kwa wachezaji. Yaani kadri ndege inavyopaa juu, nafasi za ushindi huongezeka, na kila sekunde unayocheza, dau lako linazidi kukua. Ni mchezo unaochanganya burudani na fursa halisi za kupata fedha.
Ili kushiriki, jisajili na Meridianbet, kisha weka dau lolote lile kwenye mchezo wa Super Heli. Kila dau linakuwezesha kuwa karibu zaidi na zawadi hii kubwa ila kumbuka kwamba ukubwa wa dau ndio ukuaji wa pesa nyingi kwa haraka. Cheza kwa busara, tumia ustadi wako, na weka imani bahati ikuelekeze kushinda.
NB; Mbali na Super Heli, Meridianbet inatoa michezo mbalimbali ya kasino mtandaoni pamoja na kubashiri mechi za kimataifa kwa odds nzuri, njia nyingine rahisi ya kuongeza mapato yako. Tembelea meridianbet.co.tz au piga *149*10# kuanza sasa.
Usikose fursa hii ya kipekee ya kushinda simu za kisasa za Samsung A25. Jiunge na mamilioni ya wachezaji tayari kufurahia burudani na kushinda kila wiki. Chukua hatua leo, cheza Super Heli, na uwe mmojawapo wa washindi.
ZINAZOFANANA
SBL yakabidhi mradi wa maji kwa wakazi 14,000 Kwadelo, Kondoa
Benki ya NBC yakabidhi Kombe la Ubingwa wa Ligi Kuu kwa Yanga
Meridianbet yaigusa hospitali ya Palestina Sinza