January 28, 2026

Mwanahalisi Online

Habari za Uhakika

Mechi za ushindi hizi hapa na Meridianbet

Ligi ya Mabingwa Ulaya (UEFA) itaendelea leo hii ambapo mechi zote za mwisho kwenye msimamo zitapigwa huku nafasi ya wewe kuondoka na mkwanja mrefu ikiwa kubwa. Je beti yako unaiweka kwa nani leo?

AS Monaco atamenyana dhidi ya Juventus ambao wapo nafasi ya 15 huku wenyeji wao wakiwa nafasi ya 21 hadi sasa. Kila timu inahitaji ushindi siku ya leo kujiweka sawa kwenye msimamo wa Ligi ya Mabingwa au kuangukia Play offs. Meridianbet wameipa mechi hii ODDS KUBWA. Bashiri hapa.

Mechi nyingine ni hii ya Barcelona vs Copenhagen ambapo vijana wa Hans Flick wanahitaji ushindi wa magoli mengi kwenye mechi hii. Wageni wao wapo nafasi ya 26 ambayo haiwezi kuwapeleka sehemu yoyote. Nafasi ya kushinda mechi hii wamepewa Barca pale Meridianbet. Jisajili hapa.

Nao Bayer Leverkusen kutoka kule Ujerumani watakuwa kibaruani dhidi ya Villarreal ambao wapo nafasi ya pili kutoka mwisho kwenye msimamo wa ligi wakitoa sare moja kwenye mechi 7 walizocheza. Mwenyeji anahitaji ushindi huu leo kwani mechi iliyopita, alipoteza huku mgeni naye akipoteza. Tandika jamvi hapa.

Pesa ipo kwenye michezo ya Kasino ya mtandaoni kama vile Keno, Aviator, Poker, Roulette,Super Heli na mingine kibao. Jiunge leo kwa kutembelea tovuti ya meridianbet.co.tz au piga *149*10# kisha uanze safari yako ya ushindi.

Bingwa mara nyingi wa michuano hii Real Madrid atakuwa ugenini kukiwasha dhidi ya Benfica ambao mpaka sasa kwenye mechi 7 walizocheza wameshinda mbili pekee na kupoteza mechi zote 5. Wakali wa ubashri Meridianbet wanampa nafasi kubwa ya kushinda Real. Wewe nani unampa nafasi kubwa ya kuondoka na ushindi?. Beti hapa.

Borussia Dortmund yeye atamenyana dhidi ya Inter Milan huku tofauti ya pointi kati yao hadi sasa ikiwa ni 1 pekee. Wote wametoka kupoteza mechi zao zilizopita, hivyo basi leo hii ushindi ni muhimu kwenye timu zote mbili. Je nani kuondoka na ushindi mechi hii ya mwisho?. Bashiri hapa.

Vijana wa Pep Guardiola, Manchester City atamenyana vikali dhidi ya Galatasaray ambao wapo nafasi ya 17 kwa 11, huku tofauti ya pointi kati yao mpaka sasa ni 3 pekee. City wametoka kupoteza mechi yao iliyopita huku mechi hii ikiwa ni muhimu sana kwao kushinda pale Etihad. Je wageni watakubali kupoteza mechi hii ugenini?. Suka jamvi hapa.

Mechi nyingine kali ni hii ya Napoli vs Chelsea ambapo hawa wote wanahitaji ushindi kwenye mechi hii ya leo. Mara ya mwisho kukutaa hawa wawili ilikuwa 2012 ambapo The Blues waliondoka na ushindi. Je leo hii katika dimba la Maradona nani kuondoka na pointi 3?. Jisajili hapa.

Kwa upande wa Bayern Munich watamenyana dhidi ya PSV ambao wapo nafasi ya 22 kwenye msimamo wa ligi. Vijana wa Kompany wao wameshafuzu hivyo mechi hii haina umuhimu mkubwa sana kwao ukilinganisha na wenyeji. Machaguo zaidi ya 1000 yapo mechi hii. Tandika jamvi hapa.

PSG vs Newcastle United ni moja kati ya mechi kali ambayo itapigwa hii leo ambapo mwenyeji ametoka kupoteza mechi iliyopita, huku wageni wao wakishinda. ODDS KUBWA zipo mechi hii leo huku nafasi ya wewe kuondoka na maokoto ikiwa nje nje. Jisajili hapa.

About The Author

error: Content is protected !!