January 5, 2026

Mwanahalisi Online

Habari za Uhakika

Maisha ni mazuri ukibashiri na Meridianbet leo

 

Wiki hii imekuwa nzuri sana kwa wale wanaoutumia Meridianbet kufanya ubashiri kwani timu za ushindi zipo hapa leo. ODDS KUBWA na mcahguo zaidi ya 1000 yapo hapa, hivyo ingia na usuke jamvi lako.

Tukianza na SERIE A kule Italia kitawaka vilivyo ambapo mapema kabisa kutakuwa na mtanange mkali kabisa kati ya Lazio vs Napoli ambao ndio mabingwa watetezi wa ligi hiyo. Mara ya mwisho kukutana timu hizi mbili walitoa sare. Nani kuondoka na ushindi siku ya leo?. Jisajili hapa.

Nao Hellas Verona watakipiga dhidi ya Torino ambao wapo nafasi ya 13 huku wenyeji wao  wakiwa nafasi ya 18 ambayo ni nafasi mbaya hivyo ushindi wa leo ni muhimu sana kwao. Meridianbet imeipa mechi hii ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya 1000. Tandika jamvi hapa.

Piga pesa kwenye michezo ya Kasino ya mtandaoni kama vile Keno, Aviator, Poker, Roulette,Super Heli na mingine kibao. Jiunge leo kwa kutembelea tovuti ya meridianbet.co.tz au piga *149*10# kisha uanze safari yako ya ushindi.

Michuano ya AFCON hatua ya 16 bora itaendelea ambapo Morocco ambao ni wenyeji wa michuano hii watakuwa kibaruani dhidi ya Tanzania ambapo wawili hawa walikutana kwenye makundi Stars walipoteza. Hii ni mechi ya piga ua yaani shinda usonge mbele. Meridianbet wameipa mechi hii machaguo zaidi ya 1000. Beti hapa.

LALIGA kule Hispania kuna mechi za pesa ambapo mechi ya mapema kabisa ni hii ya Sevilla vs Levante ambao mpaka sasa wapo nafasi ya mwisho kwenye msimamo wa ligi. Meridianbet wanampa nafasi kubwa ya ushindi mwenyeji. Je wewe beti yako unaiweka kwa nani siku ya leo?. Beti hapa.

Real Madrid watakuwa kibaruani dhidi ya Real Betis ambao wanashika nafasi ya 6 huku mechi ya mwisho kukutana, vijana wa Alonso walipoteza mechi hiyo. Hii ni mechi ya kisasi kwao na mechi muhimu kabisa wakiwa nyumbani. Suka jamvi hapa.

Saa 5 usiku Real Sociedad atakuwa na kibarua cha kupata ushindi dhidi ya Atletico Madrid ambayo inanolewa na Diego Simeone. Hii ni moja ya mechi kali kabisa ambayo itakufanya wewe mteja wa Meridianbet uondoke na maokoto. Je nani unampa pesa yako yako leo?. Tengeneza jamvi hapa.

Meridianbet inakwambia kutengeneza mkwanja na mechi za EPL kule Uingereza ambapo Manchester United atakuwa ugenini dhidi ya Leeds United ambao walipanda daraja msimu huo. Mara ya mwisho kukutana ilikuwa ni msimu juzi na Mashetani Wekundu walishinda. Jisajili hapa.

Pia Fulham watawakaribisha Liverpool ambao wamekuwa na msimu mbaya kwa kupata matokeo ya kusua sua, lakini bado wapo kwenye mbio za ubingwa na wanataka kutetea taji lao. Jogoo anaingia uwanjani akikumbuka kipigo alichokipata mara ya mwisho walipokutana. Je leo hii atalipa kisasi?. Bashiri hapa.

Mechi kali Uingereza leo hii ni Manchester City vs Chelsea ambapo The Blues mara ya mwisho kushinda mbele za Guardiola ilikuwa ni msimu wa 2022/2023. City yupo kwenye mbio za ubingwa huku vijana wa Maresca wao wakiwa na matokeo ambayo hayaridhishi. Je nani kushinda?. ODDS KUBWA zipo hapa na Meridianbet. Jisajili hapa. 

About The Author

error: Content is protected !!