Meridianbet inakukaribisha leo hii kutimiza ndoto zako za muda mrefu hapa kwani watu wengi sana wameweza kufanya hivyo. Bashiri mechi zote hapa kwa dau lako ulitakalo na uibuke Milionea leo.
Ligi kuu ya Italia, yaani SERIE A inatarajiwa kuendelea siku ya leo ambapo mapema kabisa Parma atamenyana dhidi ya ACF Fiorentina ambao msimu huu umekuwa mbovu sana kwao kwani hadi sasa ndio vibonde wa ligi wakiwa na pointi 6, huku wenyeji nao hali ikiwa mbaya kwani wana pointi 14. Bashiri hapa.
Udinese atakuwa kibaruani dhidi ya Lazio ambapo mpaka sasa tofauti ya pointi kati yao ni 1 pekee. Mara ya mwisho kukutana, hakuna ambaye alikuwa mbabe kati yao yaani waligawana pointi. Kila timu inahitaji ushindi iweze kusogea kwenye nafasi za juu. Je nani unampa ushindi leo?. Suka jamvi hapa.
Nao Juventus watasafiri kukipiga dhidi ya Pisa ambao wamepanda daraja msimu huu ambapo mpaka sasa wamefanikiwa kukusanya pointi 10, huku wenyeji wao wakikusanya pointi 26. Bibi Kizee anahitaji ushindi ili asiwe mbali na mbio za ubingwa wa Scudetto. Jisajili hapa.
Tusua na michezo ya Kasino ya mtandaoni kama vile Keno, Aviator, Poker, Roulette,Super Heli na mingine kibao. Jiunge leo kwa kutembelea tovuti ya meridianbet.co.tz au piga *149*10# kisha uanze safari yako ya ushindi.
Na kule Uingereza vilevile EPL kama kawaida itarindima ambapo Manchester City watakuwa ugenini kusaka ushindi dhidi ya Nottingham Forest huku mechi ya mwisho kukutana, Pep Guardiola na vijana wake walishinda. Leo hii mwenyeji anataka kulipa kisasi huku City wao wakiwa kwenye mbio za ubingwa. Beti sasa na Meridianbet.
Kwa upande wa Arsenal wao watakipiga dhidi ya Brighton ambao wanashika nafasi ya 10 hadi sasa. The Gunners msimu huu wanataka taji la ligi kuu ambal;o wana miaka mingi sana hawajalichukua. Je mgeni anaweza kumzuia kuchukua pointi 3 Arteta?. Tandika jamvi hapa.
Arne Slot na vijana wake Liverpool watakuwa nyumbani kumenyana dhidi ya Wolves ambao mpaka sasa hawajapata ushindi wowote kwenye ligi. Jogoo wa Anfield ambaye ndio bingwa mtetezi wa ligi. Mara ya mwisho kukutana, Liver aliondoka na ushindi mechi zote mbili. Leo hii nani kushinda?. Jisajili hapa.
Na mechi ya hapo baadae kule Uingereza itakuwa ni hii ya Chelsea vs Aston Villa ambapo tofauti ya pointi kati yao hadi sasa ni 5 pekee na mechi ya mwisho The Blues walipasuka. Hii ni mechi ya kisasi kwa Maresca. Mechi hii pale Meridianbet imepewa ODDS KUBWA. Bashiri sasa.
Lakini pia Meridianbet inakwambia kuwa unaweza ukabashiri mechi za AFCON ambapo Tanzania watakuwa kibaruani dhidi ya Uganda kwenye Kundi C. Kila timu inataka kuanza vyema michuano hii huku mara ya mwisho kukutana, walipoteza. Je wanaweza kulipa kisasi?. ODDS KUBWA zipo hapa. Beti sasa.
Hapo hapo Kundi C, kutakuwa na mechi ningine kati ya Nigeria vs Tunisia ambapo mara ya mwisho wawili hawa kukutana ilikuwa ni mwaka 2022 na mwenyeji alipoteza mechi hiyo. Leo hii mwenyeji anataka kulipa kisasi huku timu hizi zote mbili zikiwa ni timu zenye wachezaji wenye uwezo mkubwa kabisa. Suka jamvi hapa.
Benin wao wataumana dhidi ya Botswana kutoka kundi D, ambapo kila timu inataka ushindi kwenye mechi yao hii ya kwanza. Meridianbet inasema hivi ni rahisi sana kutengeneza pesa kwenye mechi hii. Ingia kwenye akaunti yako na usuke jamvi la ushindi hapa.
Siku hiyo hiyo Senegal watakipiga dhidi ya DR Congo huku hii ikiwa ni moja ya mechi nzuri kabisa ya kutazama. Ni moja ya mechi ya kibabe kwani wote wanaokutana ni wababe kiasi kwamba hata ushindi sio mrahisi kwa waote wawili. Pesa yako unampa nani siku ya leo?. Bashiri hapa.
ZINAZOFANANA
Nafasi ya kuibuka bingwa hii hapa
Tandika jamvi lako la ushindi hapa
Suka jamvi na mechi za AFCON leo