KWA dau dogo tuu leo hii unaweza kubadilisha maisha yako kwani ODDS KUBWA zipo Meridianbet. Mechi za ligi mbalimbali zipo kwaajili yako. Unangoja nini?. Suka jamvi lako hapa.
LALIGA kutakuwa na mechi moja kali kabisa ambapo Elche atamleta kwake Real Sociedad ambapo tofauti ya pointi kati yao ni 2 pekee. Mara ya mwisho kukutana mgeni aliondoka na ushindi. Je nani mwenyeji kulipa kisasi leo?. Suka jamvi lako la ushindi na Meridianbet leo.
Pia kule Ujerumani, BUNDESLIGA kutakuwa na mechi kali sana kati ya Werder Bremen vs Wolfsburg ambao mpaka sasa wana pointi 8 huku wenyeji wao wakiwa na pointi zao 12. Kila timu inahitaji ushindi ili kusogea nafasi ya juu zaidi. ODDS KUBWA zipo mechi hii. Jisajili na ushinde hapa.
Michezo ya kasino kukutajirisha leo cheza Keno, Aviator, Poker, Roullette, Wild Icy Fruits, Super Heli na mingine kibao. Jiunge leo kwa kutembelea tovuti ya meridianbet.co.tz au piga *149*10# kisha uanze safari yako ya ushindi.
Halikadhalika kule LIGUE 1 kule Ufaransa nayo kama kawaida ambapo Rennes atakuwa ugenini kukiwasha dhidi ya Paris FC ambao ndio wamepanda daraja msimu huu. Mgeni ametoka kushinda mechi yake iliyopita huku mwenyeji naye akishinda. Hivyo ni mechi ambayo kila timu imetoka kupata matokeo mazuri kwenye mechi yake iliyopita. Je nani kuondoka na ushindi?. Tandika jamvi hapa.
SERIE A kule Italia kuna mechi ya pesa pia kati ya Pisa vs Cremonese ambapo tofauti yao ni pointi 8 hadi sasa. Mwenyeji yupo nafasi ya 17 na mgeni wake nafasi ya 10. Meridianbet inasema kuwa mechi hii ina machaguo zaidi ya 1000. Ingia na ubashiri sasa.
Unaweza ukabashiri pia mechi ya CHAMPIONSHIP kati ya Watford vs Bristol City ambapo mara ya mwisho kukutana, mgeni aliondoka na ushindi mnono. Meridianbet wameipa mechi hii Odds nzuri sana ambazo unaweza ukabashiri na ukaondoka na ushindi mnono. Beti hapa.
ZINAZOFANANA
Jero yako, ushindi wako leo
Piga mshindo wa maana na Meridianbet leo
Ukitaka taarifa zote za michezo ingia Meridianbet Sport Portal