October 28, 2025

Mwanahalisi Online

Habari za Uhakika

Tandika jamvi lako na Meridianbet leo

Mechi kibao zinaendelea huku tayari wakali wa ubashiri Tanzania Meridianbet wameshakuwekea ODDS KUBWA kwenye mechi zote ambazo utabashiri. Unasubiri nini leo kusuka jamvi lako la ushindi?. Bashiri sasa.

Ligi kuu ya Italia itaendelea kwa mechi mbili ambapo Lecce atakuwa mwenyeji wa Napoli mabingwa watetezi wa ligi, huku mechi ya mwisho kukutana, vijana wa Conte waliondoka na ushindi mnono. Je beti yako unaiweka wapi kwenye mechi hii?. Tandika jamvi lako la ushindi hapa.

Mechi kali itakuwa ni kati ya Atalanta vs AC Milan ambapo hawa wote wanahitaji ushindi mnono kujiweka kwenye mbio za ubingwa msimu ujao. ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya 1000 yapo kwenye mechi hii. Milan wanahitaji kushinda mechi hii kwani msimu uliopita walipoteza mechi zote mbili walizopoteza. Bashiri hapa.

Mzigo upo kwenye michezo ya kasino ya mtandaoni kama vile Keno, Aviator, Poker, Roullette, Wild Icy Fruits, Super Heli na mingine kibao. Jiunge leo kwa kutembelea tovuti ya meridianbet.co.tz au piga *149*10# kisha uanze safari yako ya ushindi.

CARABAO CUP kule Uingereza inaendelea ambapo Grimsby Town ataumana vikali dhidi ya Brentford ambao wanacheza ligi kuu ya Uingereza. Mwenyeji anakipiga kule Uingereza LEAGUE 2. Nafasi ya kushinda pale Meridianbet tayari ameshawekwa sasa wewe ni kuamua beti yako uiweke kwa nani. Unangoja nini sasa?. Jisajili hapa.

Nae Fulham atakuwa ugenini kusaka ushindi dhidi ya Wycombe Wanderers ambayo inakipiga kule Uingereza LIGUE 1. Mara ya mwisho kukutana hawa wawili ilikuwa ni 2017 ambapo Wycombe walipoteza mechi hiyo. Meridianbet wameipa mechi hii ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya 1000. Suka jamvi hapa.

Kwa upande wa Wrexham wao watakipiga dhidi ya Cardiff City ambapo mwenyeji yeye yupo Championship na mgeni wake yeye anacheza LIGUE 1. Je nani kuondoka na ushindi mnono siku ya leo?. Tengeneza jamvi lako la ushindi leo.

Halikadhalika Ujerumani kule DFB POKAL kutakuwa na mechi za kukata na shoka, Eintracht Frankfurt atakiwasha dhidi ya Borussia Dortmund ambapo hawa wote wanakipiga kule Ligi kuu ya Ujerumani. Kila timu inahitaji ushindi kusonga mbele hatua inayofuata. Nani kuondoka kifua mbele?. Beti hapa.

Nao FC Heidenheim watakuwa uwanjani kukipiga dhidi ya Hamburger SV ambao ndio wamepanda ligi kuu msimu huu. Kwenye ligi timu hizi zimetofautiana pointi 8 pekee ambapo mwenyeji anashika nafasi ya 17 huku mgeni wake akiwa nafasi ya 11. Suka jamvi lako la ushindi hapa.

Pia Wolfsburg wao wataumana dhidi ya Holstein Kiel huku timu zote zikiwa zinaingia uwanjani zikikumbuka sare ambayo ilipatikana walipokutana mara ya mwisho. ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya 1000 yapo Meridianbet kwenye mechi hii. Jisajili sasa.

About The Author

error: Content is protected !!