
Leo tena ni siku nyingine tena ya wewe kuondoka na pesa ya maana ukibashiri na wakali wa ubashiri Tanzania Meridianbet. Mechi nyingi za kufuzu Kombe la Dunia 2016 zinaendelea. ODDS KUBWA zipo hapa ingia na utengeneze jamvi sasa.
Wales watakuwa ugenini kukiwasha dhidi ya Kazakhstan ambao hawapewi nafasi kubwa ya ushindi siku ya leo wakiwa na ODDS 6.00 kwa 1.52. Takwimu zinaonesha kuwa mechi ya mwisho kukutana ilikuwa ni mwaka huu mwezi Machi ambapo mgeni akiwa nyumbani aliondoka na ushindi. Kila timu inahitaji kuongoza kundi hili J. Wewe beti yako unaiweka kwenye mechi hii?. Jisajili hapa.
Wakati kwa upande wa Georgia wao watakuwa kibaruani kupepetana dhidi ya Turkey ambao ndio wana nafasi kubwa ya kuibuka washindi siku ya leo. Meridianbet wameipa mechi hii ODDS 2.90 kwa 2.27 lakini pia hapa unapata machaguo zaidi ya 1000. Mechi za mwisho mbili ambazo waliwahi kukutana mwenyeji akpigika zote. Je leo hii wanaweza kulipa kisasi?. Tandika jamvi hapa.
Maokoto mengi yapo kwenye michezo ya kasino ya mtandaoni kama vile Poker, Keno, Roulette, Aviator, Superheli hivyo ingia na ukusanye maokoto zaidi na zaidi. PIGA *149*10# AU tembelea tovuti yao meridianbet.co.tz kubashiri mechi zote.
Vilevile unaweza kusuka jamvi mechi hii ya Lithuania vs Malta huku timu zote zinahitaji ushindi siku ya leo. Kombe la Dunia likiwa kama kombe kubwa zaidi Duniani na ni sifa nzuri timu hupata endapo zitashiriki ndio maana hata wachezaji wakiitwa kushiriki hufurahia kwa furaha ya machozi kabisa. Beti mechi hii yenye 1.90 kwa 4.80. Je nani kupata ushindi leo huku tofauti yao ikiwa ni pointi moja?
Mabingwa wa michuano ya Euro, Spain watakuwa ugenini kukipiga dhidi ya Bulgaria ambao ndani ya Meridianbet hawapewi nafasi kabisa ya kushinda mechi hii kwani wana ODDS 23 kwa 1.08. Mechi hii pia ina machaguo zaidi ya 1000 ambayo unaweza kubashiri kama vile kona, faulo, magoli mengi nk. Je vijana wa Luis de la Fuente wataanzaje mechi hizi?. Bashiri hapa.
Pia Luxembourg nao watakuwa nyumbani kwao kusaka pointi 3 za kwanza dhidi ya Northern Ireland ambao kwenye mechi zake 5 za mwisho alizocheza ana ushindi mmoja pekee, huku mwenyeji wake akiwa na hali hiyo hiyo ya ushindi mmoja kwenye mechi moja. Kila timu inataka ushindi leo kujiweka sawa kwenye nafasi ya kufuzu michuano hii mikubwa Ulaya. 3.60 kwa 2.25 ndio ODDS za mechi hii. Suka jamvi hapa.
Piga pesa mechi ya Netherlands vs Poland ambapo takwimu zinaonesha kuwa kwenye mechi 6 toka mwaka 2016 walipokutana Poland amepigwa mechi 5 na kutoa sare mechi moja pekee, hivyo kwa kifupi The Orange ni wababe wa wageni wao. Je leo hii wataweza kulipa kisasi?. Mechi hii imepewa ODDS 1.25 kwa 9.80. Jisajili hapa na mabingwa wa ubashiri Tanzania.
Germany nao watakuwa ugenini kutunishana mbavu dhidi ya Slovakia ambao mechi ya mwisho kuonana ilikuwa 2016 kwenye mechi za Robo Fainali za Euro na mabingwa hawa wa Kombe la Dunia la 2014 waiibuka washindi. Leo hii wageni wanaweza kuambulia pointi wakiwa ugenini?. Beti mechi hii yenye ODDS 6.40 kwa 1.42.
ZINAZOFANANA
Magori mwenyekiti mpya Bodi ya Simba, Barbara ndani
Rekodi mpya za usajili na Meridianbet hizi hapa
Bashiri mapema anayeshuka daraja EPL 2025/26