WATU 800 wamefariki dunia na wengine kadhaa baada ya makazi yao kukumbwa na tetemeko la ardhi lenye kipimo cha 6.0 Mw lililitokea katika mpaka wa Afghanistan na Pakistan. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea).
Maeneo yaliyoathirika zaidi ni mikoa ya Kunar na Nangarhar ambako vijiji vingi vimeripotiwa kusambaratika.
Majeruhi wanakadiriwa kufikia 2,800 huku juhudi za uokoaji zikitatizwa na maporomoko ya ardhi na barabara zilizozibwa.
ZINAZOFANANA
Ndege ya abiria yatua baharini kwa dharura Mogadishu
Tanzania kujisogeza Ulaya, Zungu apiga hodi Serbia
Rais Museven kuwasili Tanzania kesho kwa ziara ya kikazi