
KLABU ya Liverpool ya Uingereza imepata pigo baada ya mshambuliaji wake, Diogo Jota kufariki katika ajali ya barabarani akiwa na umri wa miaka 28. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea).
Kaka yake mshambuliaji huyo wa Ureno Andre Silva pia alifariki katika ajali hiyo iliyotokea katika jimbo la Zamora nchini Uhispania.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 26 pia alikuwa mchezaji wa kulipwa, wa klabu ya daraja la pili ya Ureno ya Penafiel.
Gazeti la Guardia Civil limeeleza kuwa Jota na kaka yake walifariki saa sita usiku siku ya Alhamisi saa za Uhispania.
ZINAZOFANANA
Watu 18 wafa kwa njaa Ukanda wa Gaza
Vita vya Gaza: Hamas waapa kufia kwenye ardhi yao
Maadhimisho ya Nne ya Lugha ya Kiswahili yapokewa kwa bashasha Harare, Zimbabwe