
IJUMAA ndio hiyo imefika ya wewe kuondoka na kitita cha mkwanja wa maana kwani Meridianbet wanasema hivi usipopiga pesa leo utapiga lini?. Ingia kwenye akaunti yako na ubashiri hapa.
BUNDESLIGA kule Ujerumani leo kuna mechi kali kabisa ya mkwanja kati ya VFB Stuttgart dhidi ya Bayern Munich ambao ndio vinara wa ligi. Tofauti ya pointi kati yao ni 22 huku mtanange wa mwisho kuonana, Bayern alishinda. Je leo hii mwenyeji anaweza kulipa kisasi?. Mechi hii imepewa ODDS 4.80 kwa 1.70. Tandika jamvi hapa.
Pia kule Hispania LALIGA nayo kuna mechi ya wewe kubetia Real Valladolid watakuwa wenyeji wa Las Palmas ambapo, mwenyeji mechi yake iliyopita walichezea kichapo kikali vibaya mno, huku kwa mgeni yeye nao walipigika. Hivyo pointi 3 ni muhimu kw akila timu leo huku nafasi ya ushindi pale Meridianbet akipewa mgeni kwa ODDS 2.50 kwa 3.00. Je beti unampa nani?. Jisajili hapa.
Tusua Ijumaa ya leo na Meridianbet. Pia cheza michezo ya Kasino ya mtandaoni kama vile, Poker, Roullette, Aviator, Wild Icy Fruits, Keno na mingine kibao.
Vilevile kule Italia SERIE A itaendelea ambapo ACF Fiorentina atamleta kwake US Lecce ambapo tofauti ya pointi kati yao ni 17 pekee huku mara ya mwisho walipokutana, mgeni alichezea vibaya mno. Leo hii yupo ugenini atatokaje?. ODDS za mechi hii ni 1.82 kwa 4.90. Tandika jamvi hapa.
Kule Ufaransa LIGUE 1 nayo kitawaka kama kawaida AS Monaco baada ya kupoteza, leo hii atakuwa nyumbani kwake kumenyana dhidi ya Reims ambao nao walipoteza, hivy zinakutana timu zote ambazo zinamendea hizo pointi 3. Mwenyeji yupo nafasi ya 5 na mgeni wake nafasi ya 15. Bashiri mechi hii yenye ODDS 1.40 kwa 7.00.
Uingereza leo hii kuna mchezo mmoja wa FA raundi ya 5 ambao utapigwa Aston Villa watakuwa wenyeji wa Cardiff City ambayo inakipiga kule Uingereza daraja la kwanza yaani CHAMPIONSHIP na ipo nafasi ya 19 kati ya timu 24. Vijana wa Unai wapo nafasi ya 10 baada ya kupigika mechi yao iliyopita. Mechi hii ina ODDS 1.17 kwa 16. Jisajili hapa.
Ligi kuu ya SAUDIA pia itaendelea leo hii ambapo bingwa mtetezi AL Hilal atapepetana dhidi ya AL Ahli ambapo tofauti ya pointi kati yao ni 7 huku mwenyeji yeye akiwa nafasi ya 2 na mgeni wake nafasi ya 7. Mgeni anataka kulipa kisasi leo baada ya kupigika mechi yake iliyopita waliyokutana. 1.67 kwa 4.30. Bashiri hapa.
AL Nassr ya kina Ronaldo watakuwa ugenini kusaka pointi 3 dhidi ya AL Orabah ambao wanashika nafasi ya 13 kwenye msimamo wa ligi. Mara ya mwisho walipokutana, vijana wa Stefano Pioli waliibuka na ushindi. Je leo hii wanaweza kulipa kisasi wakiwa nyumbani ?. 10 kwa 1.25 ndio ODDS za mechi hii. Suka jamvi hapa.
ZINAZOFANANA
Mkwanja wa kutosha utakuwepo Meridianbet leo kupitia michezo mbalimbali
Piga mzigo wa maana na Meridianbet leo
Rising Star FC na kamili Gado FC zapewa jezi