September 18, 2024

Mwanahalisi Online

Habari za Uhakika

UEFA Nations League kutoa mkwanja leo

 

Michuano ya Uefa Nations League itaendelea leo na mikwanja itaendelea kutoka kwakua itakwenda kupigwa michezo mikali ambayo itakuwezesha kupiga mkwanja wa kutosha kupitia Meridianbet.

Kipindi hiki ambacho ligi zimesimama chimbo pekee ambalo limewafanya watu wasikae kinyonge ni michuano ya Uefa Nations ambapo wadau wanaendelea kunyakua vitita kupitia michuano hii.

Baada ya kushinda michezo yao ya awali leo wanakutana katika mchezo wao wa tatu kwenye michuano ya Uefa Nations League ni timu ya taifa ya Uholanzi ambayo watamenyana na timu ya taifa ya Ujerumani leo.

Timu ya taifa ya Uingereza leo itashuka dimbani kumenyana na timu ya taifa ya Finland mchezo ambao Uingereza wanapewa nafasi ya kuibuka na ushindi, Hivo unaweza kumuwekea ubashiri wako Uingereza uondoke na mkwanja.

Mchezo mwingine ambao utapigwa leo kwenye michuano ya Uefa Nations League na unaonekana utakua na ushindani mkubwa ni mchezo kati ya timu ya taifa ya Ukraine dhidi ya timu ya taifa ya Jamhuri ya Czech, Mchezo huu umepewa Odds nono sana pale Meridianbet.

Timu ya taifa ya Albania watakua nyumbani kumenyana na timu ya taifa ya Georgia ambao wametoka kutoa kichapo kizito mchezo uliopita, Leo wanamenyana na Albania ambao pia walipata matokeo ya ushindi mchezo uliomalizika hivo mchezo wa leo utakua na ushindani mkubwa kwelikweli.

Endelea kufurahia kubashiri na Meridianbet mabingwa wa michezo ya kubashiri ambao wanatoa ODDS BOMBA kuliko sehemu yeyote ile, Lakini pia machaguzi mengi zaidi ya 1000 Bashiri sasa michezo itakayopigwa wikiendi hii uweze kupiga mkwanja.

About The Author