Tuesday , 30 May 2023
Home Gazeti Habari za Siasa Zitto azidi kusota Kisutu 
Habari za Siasa

Zitto azidi kusota Kisutu 

Zitto Kabwe, Kiongozi wa ACT-Wazalendo (mwenye kanzu) akiwa mahakamani Kisutu
Spread the love

UPANDE wa serikali umeieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kuwa wapo katika hatua za mwisho kufunga ushahidi wao kwenye kesi ya uchochezi inayomkabili Zitto Kabwe, kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo. Anaripoti Faki Sosi … (endelea).

Zitto ambaye ni mbunge wa Kigoma mjini, anakabiliwa na kesi ya uchochezi Na 327 ya 2018 anayodaiwa kutoa taarifa za uongo kuhusu mauaji ya watu Uvinza, Kigoma.

Leo tarehe 12 Septemba 2019, Mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Huruma Shaidi, Wakili wa Serikali Nassoro Katuga, amedai kuwa upande huo ulijipanga kufika na shahidi wa 13 lakini amepata dharura hivyo hakuweza kufika mahakamani.

Katuga amedai, wana mashahidi watatu ambapo shauri hilo likipangiwa tena, wataweza kufunga ushahidi wao .

Hakimu Shaidi ameahirisha shauri hilo mpaka tarehe 7, 8, na 9 Oktoba 2019.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Uamuzi juu ya wakurugenzi kusimamia uchaguzi 13 Juni

Spread the love  MAHAKAMA ya Afrika ya Haki za Binadamu (ACHPR), imepanga...

Habari za Siasa

Musoma Vijijini waomba ujenzi wa barabara uanze haraka

Spread the loveJIMBO la Musoma Vijijini, mkoani Mara, limeomba Serikali kuhakikisha ujenzi...

Habari za Siasa

ACT Wazalendo yaanika madudu miradi ya ujenzi, moundombinu

Spread the loveCHAMA cha ACT Wazalendo kimeeleza wasiwasi juu ya uelekeo wa...

Habari za Siasa

Samia ashuhudia utiaji saini ujenzi wa minara 758 ya bilioni 265

Spread the love  RAIS Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa kampuni za...

error: Content is protected !!