Tuesday , 21 March 2023
Home Kitengo Michezo Zidane, Klopp, Flick vita tuzo ya kocha bora wa dunia
Michezo

Zidane, Klopp, Flick vita tuzo ya kocha bora wa dunia

Spread the love

MAKOCHA Zinedine Zidane wa Real Madrid, Jurgen Klopp wa Liverpool na Hans Flick anaekinoa kikosi cha Bayern Munich wameteuliwa kati ya makocha watano walioingia kwenye kinyang’anyiro cha tuzo ya kocha bora wa dunia kwa mwaka 2020 zinatolewa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA). Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es Salaam … (endelea).

Tuzo hizo ambazo hutolewa kila mwaka na shirikisho hilo ambazo zinatambulika kwa jina la Tuzo za FIFA (FIFA Awards) ambazo zitatolewa tarehe 17 Desemba, 2020 katika vipengele tofauti.

Kuingizwa kwa makocha hao ni kutokana na mafaniko makubwa waliyoyapata kwenye msimu uliopita huku Hans Flick akiongoza Bayern Munich kutwaa taji la Ligi ya Mabingwa Ulaya (Uefa) na Ligi Kuu nchini Ujerumani, mafanikio makubwa waliopata Klopp na Zidane ni kutwaa mataji ya Ligi Kuu nchini mwao.

Hans Flick

Katika orodha hiyo pia wamejumuishwa kocha wa Leeds United inayoshiriki Ligi Kuu England, Marcelo Bielsa, sambamba na kocha mkuu wa Sevilla ya Hispania, Julien Lopetegul.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Yanga: Fedha za Rais Samia zinaleta ari kubwa

Spread the loveUONGOZI wa klabu ya Yanga, umesema fedha zinazotolewa na Rais...

Michezo

Simba Sc. yamvulia kofia Rais Samia, yamuahidi makubwa dhidi ya Horoya

Spread the loveWAKATI timu ya Simba ikiibuka na ushindi wa bao 3-0...

Michezo

Taasisi ya TKO na TFF yawapiga msasa makocha wa kike 54

Spread the love WAKATI Soka la wasichana likichipua kwa kasi Taasisi ya...

Michezo

Kimwanga CUP yazidi kutimua vumbi

Spread the loveMASHINDANO ya mpira wa miguu ya Kimwanga CUP ya kuwania...

error: Content is protected !!