Friday , 29 September 2023
Home Habari Mchanganyiko Ziara ya Dk. Tzeba Nanenane
Habari Mchanganyiko

Ziara ya Dk. Tzeba Nanenane

Spread the love
WAZIRI wa Kilimo,Mifugo na Uvuvi,Dk.Charles Tzeba akisalimiana na Ofisa wa bunge kitengo cha habari Zuhura Mtatifikolo (Aliyejifunga kilemba) katika maonesho ya Nanenane yanayoendelea katika viwanja vya Nzuguni Mjini hapa. Picha na Dany Tibason .
Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Dk.Charles Tzeba(aliyeweka mikono mfukoni),akipata maelezo kutoka kwa Afisa habari wa Bunge Patson Asumwisye Sobha wakati wa maonesho ya nanenane yanayoendelea katika viwanja vya Nzuguni mjini hapa Bunge limesema kuwa haliwezi kujitenga na nanenane kwani sera,kanuni pamoja na sheria za kilimo utungwa Bungeni. Picha na Dany tibason .

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Askari Polisi wa wanawake watakiwa kuchangamkia fursa za elimu

Spread the love  KAMISHNA wa Polisi Utawala Menejimenti ya rasilimali watu, CP...

Habari Mchanganyiko

Vijana 400 waguswa na programu ya “Learning for Life” ya SBL

Spread the love  PROGRAMU ya “Learning for Life” imetimiza dhamira ya Serengeti...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Stamico yafungua fursa za kiuchumi kwa makundi maalumu

Spread the loveSHIRIKA la Madini la Taifa (STAMICO) limemwaga neema kwa watu...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Maabara ya bilioni 5 upimaji madini yazinduliwa Geita, inapima kwa mionzi

Spread the loveZaidi ya Sh bilioni tano zimewekezwa katika kampuni ya MSALABS...

error: Content is protected !!