Tuesday , 30 May 2023
Home Kitengo Michezo Yanga yawatema makinda, mafaza
Michezo

Yanga yawatema makinda, mafaza

Youthe Rostand, aliyekuwa kipa wa Yanga
Spread the love

BAADA ya dirisha la usajiri kufungwa jana majira ya saa sita usiku, klabu ya Yanga imetoa orodha ya wachezaji tisa ambao hawatotumikia timu hiyo kwa msimu ujao wa mashindano unaotarajiwa kuanza 23, Agosti 2018. Anaripoti Kelvin Mwaipungu … (endelea)..

Wachazaji hao ambao ni mlinda mlango Youthe Rostand, Hassani Kessy, Yohana Mkomola, Geofrey Mwashiuya, Said Bakari, Baruani Akilimali, Said Makapu, Obrey Chirwa na Donald Ngoma.

Baadhi ya wachezaji hao wakitolewa kwa mkopo kwenda kwenye baadhi ya timu za Ligi Kuu, huku wengine wakiondoka kama wachezaji huru ambao mikataba yao imeisha toka msimu wa ligi ulipomaliza.

Mpaka sasa Yanga imeshasajili jumla ya wachezaji saba, huku wakijiandaa na mchezo wao wa marudiano dhidi ya Gor Mahia siku ya Jumapili kwenye Kombe la Shirikisho Afrika.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

NBC Dodoma Marathon yazinduliwa, wakiambiaji 6,000 kushiriki

Spread the loveBENKI ya NBC imetangaza kufanyika kwa mbio kubwa za NBC...

Michezo

Rais Samia anunua tiketi 5000 Yanga vs USM Alger

Spread the loveRAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu...

Michezo

Mwenyekiti UVCCM anogesha nusu fainali Kimwanga CUP, Hawa Abdul Rede CUP kwa kishindo

Spread the loveHEKAHEKA za michuano ya kuwania kuingia fainali ya michuano ya...

Michezo

Yanga SC. yatwaa ubingwa wa pili mfululizo

Spread the love  KLABU ya Yanga SC imeweka rekodi ya kutwaa ubingwa...

error: Content is protected !!