Thursday , 25 April 2024
Home Kitengo Michezo Yanga yawatema makinda, mafaza
Michezo

Yanga yawatema makinda, mafaza

Youthe Rostand, aliyekuwa kipa wa Yanga
Spread the love

BAADA ya dirisha la usajiri kufungwa jana majira ya saa sita usiku, klabu ya Yanga imetoa orodha ya wachezaji tisa ambao hawatotumikia timu hiyo kwa msimu ujao wa mashindano unaotarajiwa kuanza 23, Agosti 2018. Anaripoti Kelvin Mwaipungu … (endelea)..

Wachazaji hao ambao ni mlinda mlango Youthe Rostand, Hassani Kessy, Yohana Mkomola, Geofrey Mwashiuya, Said Bakari, Baruani Akilimali, Said Makapu, Obrey Chirwa na Donald Ngoma.

Baadhi ya wachezaji hao wakitolewa kwa mkopo kwenda kwenye baadhi ya timu za Ligi Kuu, huku wengine wakiondoka kama wachezaji huru ambao mikataba yao imeisha toka msimu wa ligi ulipomaliza.

Mpaka sasa Yanga imeshasajili jumla ya wachezaji saba, huku wakijiandaa na mchezo wao wa marudiano dhidi ya Gor Mahia siku ya Jumapili kwenye Kombe la Shirikisho Afrika.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

EPL, Ligue 1 na Coppa Italia kinawaka leo

Spread the love  LEO ligi kadhaa zitaendelea nchini barani ulaya ikiwemo ligi...

BiasharaMichezo

NBC yaunga mkono jitihada kutokomeza malaria

Spread the loveKuelekea Maadhimisho ya siku ya malaria Duniani yatakayofanyika kesho Aprili...

Michezo

Arsenal dhidi ya Chelsea ngoma nzito leo EPL

Spread the love  Leo kutakua na mchezo mkali sana pale kwenye ligi...

Habari MchanganyikoMichezo

NBC yanogesha Derby Kariakoo, Aziz Ki aibuka mchezaji bora Machi

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambayo ni mdhamini Mkuu...

error: Content is protected !!