Friday , 9 June 2023
Home Kitengo Michezo Yanga yatua Kagera
Michezo

Yanga yatua Kagera

Spread the love

KIKOSI cha Yanga kimetua kwenye Uwanja wa ndege wa Bukoba mapema hii leo asubuhi tayari kwa mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Kagera Sugar siku ya Jumamosi kwenye Uwanja wa Kaitaba. Anaripoti Mwandishi Wetu, Kagera … (endelea).

Yanga imeondoka na kikosi chake kamili baada ya kucheza mchezo wake wa kirafiki siku ya Jana dhidi ya Mlandege Fc uliofanyika kwenye Uwanja wa Azam Complex Chamazi nakufanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-0.

Mara baada ya kumalizika mchezo dhidi ya Kagera kikosi hiko kinatarajia kwenda mkoani Morogoro kuvaana na Mtibwa Sugar kwenye Uwanja wa Jamhuri.

Yanga mpaka sasa imecheza michezo miwili ya Ligi Kuu Tanzania Bara na kuibuka na pointi nne, mara baada ya kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mbeya City na kwenda sare ya bao 1-1 mbele ya Tanzania Prisons.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

HabariMichezo

Benki ya NBC yazindua kombe jipya la Ligi Kuu Tanzania Bara

Spread the loveMDHAMINI Mkuu wa Ligi ya NBC , Benki ya Taifa...

MichezoTangulizi

Yanga malizeni ugomvi na Fei Toto – Rais Samia

Spread the love  RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia...

Michezo

Samia aipongeza klabu ya Yanga kwa hatua iliyofikia

Spread the love RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia...

Michezo

Yanga waitwa Ikulu kesho Jumatatu

Spread the love RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kesho Jumatatu, tarehe...

error: Content is protected !!