Thursday , 25 April 2024
Home Kitengo Michezo Yanga yatamba mbele ya Kagera
Michezo

Yanga yatamba mbele ya Kagera

Spread the love

KLABU ya soka ya Yanga imefanikiwa kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi Kagera Sugar kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliopigwa kwenye dimba la Kaitaba mkoani Kagera. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es Salaam … (endelea).

Bao la Yanga kwenye mchezo huo lilifungwa na kiungo raia wa Congo, Mukoko Tunombe dakika ya 71’ baada ya kuunganisha pasi kutoka kwa Tuisila Kisinda.

Baada ya ushindi huo Yanga itakuwa imefikisha pointi saba kwa kushinda michezo miwili na kutoka sare mchezo mmoja.

Kwa upande wa Kagera Sugar wao watakuwa wameanza vibaya ligi hiyo mara baada ya kucheza michezo mitatu, wakipoteza michezo miwili na kwenda sare mechi moja na hivyo kufanya kuendelea kusalia na pointi moja.

Kufuatia ushindi huo Yanga itasafiri kuelekea mkoani Morogoro kucheza mchezo ujao wa ligi dhidi ya Mtibwa Sugar kwenye Uwanja wa Jamhuri siku ya tarehe 27 september 2020.

1 Comment

  • Всегда сегодняшние претензии на то, что жизнь каждого человека трудна и невыносима, сегодняшние роптания насчет такого, чего мы лишены, проистекают от недостачи признательности за то, чем мы обладаем. Превеликое спасибо за Ваши заметки!

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

EPL, Ligue 1 na Coppa Italia kinawaka leo

Spread the love  LEO ligi kadhaa zitaendelea nchini barani ulaya ikiwemo ligi...

BiasharaMichezo

NBC yaunga mkono jitihada kutokomeza malaria

Spread the loveKuelekea Maadhimisho ya siku ya malaria Duniani yatakayofanyika kesho Aprili...

Michezo

Arsenal dhidi ya Chelsea ngoma nzito leo EPL

Spread the love  Leo kutakua na mchezo mkali sana pale kwenye ligi...

Habari MchanganyikoMichezo

NBC yanogesha Derby Kariakoo, Aziz Ki aibuka mchezaji bora Machi

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambayo ni mdhamini Mkuu...

error: Content is protected !!