Tuesday , 3 October 2023
Home Kitengo Michezo Yanga yatamba mbele ya Kagera
Michezo

Yanga yatamba mbele ya Kagera

Spread the love

KLABU ya soka ya Yanga imefanikiwa kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi Kagera Sugar kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliopigwa kwenye dimba la Kaitaba mkoani Kagera. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es Salaam … (endelea).

Bao la Yanga kwenye mchezo huo lilifungwa na kiungo raia wa Congo, Mukoko Tunombe dakika ya 71’ baada ya kuunganisha pasi kutoka kwa Tuisila Kisinda.

Baada ya ushindi huo Yanga itakuwa imefikisha pointi saba kwa kushinda michezo miwili na kutoka sare mchezo mmoja.

Kwa upande wa Kagera Sugar wao watakuwa wameanza vibaya ligi hiyo mara baada ya kucheza michezo mitatu, wakipoteza michezo miwili na kwenda sare mechi moja na hivyo kufanya kuendelea kusalia na pointi moja.

Kufuatia ushindi huo Yanga itasafiri kuelekea mkoani Morogoro kucheza mchezo ujao wa ligi dhidi ya Mtibwa Sugar kwenye Uwanja wa Jamhuri siku ya tarehe 27 september 2020.

1 Comment

  • Всегда сегодняшние претензии на то, что жизнь каждого человека трудна и невыносима, сегодняшние роптания насчет такого, чего мы лишены, проистекают от недостачи признательности за то, чем мы обладаем. Превеликое спасибо за Ваши заметки!

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

UEFA imekuja na maokoto yakutosha bashiri na Meridianbet sasa

Spread the love UTAMU wa kubeti ule bhana, na ukitaka kula ni...

BiasharaMichezo

BetPawa kuwasaidia Watanzania 20 awamu ya 2 ‘Dream Maker’

Spread the loveKAMPUNI  ya michezo ya kubahatisha ya BetPawa Tanzania,  jana Jumatatu...

Michezo

Taswa wampongeza Mobhare Matinyi

Spread the love  CHAMA cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA),...

Michezo

Waziri madini atembelea banda la GGML, ashuhudia mradi wa uwanja wa kisasa

Spread the loveWAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde ametembelea banda la Kampuni ya...

error: Content is protected !!