Friday , 29 March 2024
Home Kitengo Maisha Afya Wizara ya afya yajipanga kuchanja watu 600,000
Afya

Wizara ya afya yajipanga kuchanja watu 600,000

Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Prof. Abel Makubi
Spread the love

 

Wizara ya afya maendeleo, jinsia, wazee na watoto inatarajia kuzindua mpango wa kuharakisha chanjo ya Uviko-19 kuanzia tarehe 20 Septemba, 2021. Anaripoti Victoria Mwakisimba, TUDARCo … (endelea).

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu mkuu Wizara ya Afya Maendeleo, Jinsia, Wazee na Watoto, Abel Makubi amesema watu 600,000 watapata chanjo hadi kufikia tarehe 20 ya mwezi huu.

Amesema kuwa mpango huo utahusisha magari ya chanjo yanayo tembea na kufika kwenye maeneo mbalimbali nchini na idadi ya vituo vya chanjo itaongozeka hadi kufikia 6,784.

Aidha, Makubi amewaagiza maofisa wa matibabu wa wilaya na mikoa kote nchini kusimamia na kutekeleza zoezi hilo ili kuhakikisha watu wanapata chanjo.

Kampeni ya utoaji chanjo ya Uviko-19 ilizinduliwa rasmi nchini Tanzania na Rais Samia Suluhu Hassan na kuwahakikishia wananchi wake kuwa chanjo hizo ni salama.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

AfyaHabari Mchanganyiko

Marekani kuipa Tanzania bilioni 980 kudhibiti VVU, UKIMWI

Spread the loveSERIKALI ya Tanzania inatarajiwa kupewa msaada wa fedha kiasi cha...

AfyaHabari Mchanganyiko

Wanavijiji wajenga zahanati kukwepa umbali mrefu kupata huduma

Spread the loveWANAVIJIJI wa Kata ya  Musanja Jimbo la Musoma Vijijini, mkoani...

AfyaTangulizi

Wanasayansi wagundua teknolojia ya kunyofoa VVU kutoka kwenye seli

Spread the loveTIMU ya wanasayansi kutoka Chuo Kikuu cha Amsterdam cha nchini...

Afya

Wananchi 530,000 kufaidika na ujenzi wa hospitali ya bil. 1.8

Spread the love  SERIKALI imetoa Sh 1.8 bilioni kwa ajili ya ujenzi...

error: Content is protected !!