Wednesday , 29 March 2023
Home Gazeti Habari za Siasa Waziri wa JPM abanwa bungeni
Habari za SiasaTangulizi

Waziri wa JPM abanwa bungeni

Dk. Philip Mpango
Spread the love

WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk. Phillip Mpango ametakiwa kutoa idadi ya wananchi waliotolewa kwenye unyonge wa umasikini, tangu serikali ya awamu ya tano ilipoingia madarakani. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Akichangia hoja leo tarehe 7 Novemba 2018 bungeni jijini Dodoma, Mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche amehoji kuwa, tangu serikali ya Rais John Magufuli ilipoingia madarakani ilikuta idadi ya wanyonge wangapi na walioondolowe kwenye unyonge huo ni wangapi.

Katika hatua nyingine, Heche amehoji mahali zilipo fedha zilizokusanywa na serikali ikiwa baadhi ya wananchi wanalia fedha hazionekani mitaan, i huku serikali ikijinasibu kwamba inakusanya fedha nyingi.

Wakati akichangia hoja kuhusu mapendekezo ya mpango wa taifa wa maendeleo wa mwaka 2019/20, Heche ameeleza kwamba, serikali imeshindwa kutekeleza mpango wake wa kupelekea fedha za maendeleo kwa mwaka wa fedha wa 2017/18 ambapo ilipeleka Sh.6 trilioni badala ya Sh. 12 trilioni ilizopanga kupeleka.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

DC Kasilda Mgeni ahamasisha chakula shuleni

Spread the love  MKUU wa Wilaya ya Same, mkoani Kilimanjaro, Kasilda Mgeni...

Habari za Siasa

Bilioni 223.9 zapelekwa Tunduru ndani ya miaka 2 ya SSH

Spread the love  ZAIDI ya Sh. bilioni 223.9 zimepelekwa Wilaya ya Tunduru...

Habari za Siasa

Rais Samia aagiza iundwe kamati ya pamoja ya Mawaziri mradi wa BBT

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amewaagiza mawaziri kuunda kamati...

Habari za Siasa

Rais Samia apangua makatibu tawala mikoa, ateua Kamishna DCEA

Spread the loveALIYEKUWA Kamishna wa Mamlaka ya Kudhibiti Dawa za Kulevya, Gerald...

error: Content is protected !!