Thursday , 25 April 2024
Home Kitengo Maisha Afya Waziri Mkuu Uingereza akutwa na corona
Afya

Waziri Mkuu Uingereza akutwa na corona

Boris Johnson, Waziri Mkuu wa Uingereza
Spread the love

BORIS Johnson, Waziri Mkuu wa Uingereza, amekutwa na maambukizi ya virusi vya corona (COVID19). Inaripoti mitandao ya kimataifa … (endelea).

Taarifa kutoka kwenye ofisi yake zimeeleza, kiongozi huyo alichukuliwa vipimo baada ya kuwa na dalili za awali za maambukizi ya virusi hivyo.

Yeye mwenyewe ameeleza kwenye ukurasa wake wa twitter kwamba, ataendelea kuongza taifa hilo wakati akiendelea kupatiwa matibabu.

Miongoni mwa dalili za awali zilizomsukuma kufanya vipimo amesema, joto la mwili wake lilipanda ikiwa ni pamoja na kukohoa mfululizo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

AfyaHabari za Siasa

Serikali yasaka watumishi afya ngazi ya jamii 8,900

Spread the loveSERIKALI imeanza utekelezaji wa mpango jumuishi wa wahudumu wa afya...

AfyaHabari za SiasaTangulizi

Bima ya afya kwa wote kuanza Aprili, wajane kicheko

Spread the loveSHERIA ya Bima ya Afya kwa Wote, inatarajiwa kuanza kutumika...

AfyaHabari Mchanganyiko

Marekani kuipa Tanzania bilioni 980 kudhibiti VVU, UKIMWI

Spread the loveSERIKALI ya Tanzania inatarajiwa kupewa msaada wa fedha kiasi cha...

AfyaHabari Mchanganyiko

Wanavijiji wajenga zahanati kukwepa umbali mrefu kupata huduma

Spread the loveWANAVIJIJI wa Kata ya  Musanja Jimbo la Musoma Vijijini, mkoani...

error: Content is protected !!