Tuesday , 21 March 2023
Home Gazeti Habari za Siasa Waziri Mkuu mstaafu apata pigo
Habari za Siasa

Waziri Mkuu mstaafu apata pigo

Spread the love

ELIZABETH Sumaye, aliyekuwa mama mzazi wa Waziri Mkuu Mstaafu, Fredrick Sumaye amefariki dunia jana tarehe 7 Novemba 2018 nyumbani kwake kijijini Endasaki wilayani Hanang mkoa wa Manyara. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea).

Taarifa zinaeleza kuwa, marehemu Elizabeth amefariki dunia kwa ugonjwa wa moyo na mapafu.

Kufuatia msiba huo, chama cha Chadema kupitia Katibu Mkuu wake, Dk. Vincent Mashinji kimetoa salamu za pole na rambi rambi kwa familia ya Sumaye.

“Chama kitaendelea kushirikiana na familia ya Mzee Sumaye kutoa taarifa kuhusu msiba huo ambao shughuli zake, ikiwemo mazishi zitafanyika kijijini Endasaki,” inaeleza taarifa ya Chadema iliyotolewa na Mkuu wa Idara ya Habari na MawasilianoTumaini Makene.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Rais Samia aagiza iundwe kamati ya pamoja ya Mawaziri mradi wa BBT

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amewaagiza mawaziri kuunda kamati...

Habari za Siasa

Rais Samia apangua makatibu tawala mikoa, ateua Kamishna DCEA

Spread the loveALIYEKUWA Kamishna wa Mamlaka ya Kudhibiti Dawa za Kulevya, Gerald...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

M/kiti bodi ya wadhamini Chadema afariki dunia

Spread the loveMWENYEKITI wa Bodi ya Wadhamini ya Chama cha Demokrasia na...

Habari za Siasa

Zitto: Nikifa Ado atavaa viatu vyangu

Spread the love  KIONGOZI Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe...

error: Content is protected !!