Tuesday , 26 September 2023
Home Habari Mchanganyiko Wazazi watakiwa kuwekeza kwa watoto
Habari Mchanganyiko

Wazazi watakiwa kuwekeza kwa watoto

Mkurugenzi wa Foundation IHD, Kofi Marfo
Spread the love

TAASISI ya Maendeleo ya Binadamu ya Chuo Kikuu cha Aga Khani, imewaomba wadau mbalimbali kufunya uwekezaji wa muda mrefu kwa watoto wa chini ya miaka miatno, anaandika Angel Willium.

Hatua hiyo imeelezwa kwamba inasaidia kujenga nafasi salama kwa ajili ya watoto.

Mkurugenzi wa Foundation IHD, Kofi Marfo, amesema hayo leo wakati wa kikao cha pili cha mkutano wa wadau wa masuala ya watoto unaoendelea jijini Dar es Salaam.

“Tuna jukumu la pamoja la kujenga nafasi salama kwa ajili ya watoto ili kuwapa watoto elimu, lishe bora na afya.,’’ amesema

Aidha, Mkuu wa Chuo Kikuu cha Aga Khani, Joel Lugalla amesema, jamii ikizingatia suala la elimu itasaidia watoto chini ya miaka mitano kupata malezi bora.

Lugalla amesema IHD inafanya kazi ya kuzalisha ujuzi mpya kupitia tafiti mbalimbali.

Mada zilizo jadiliwa ni pamoja na umuhimu wa utunzaji wa watoto chini ya miaka mitano.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Rais Samia apewa tano ujenzi barabara Mtwara

Spread the loveWANANCHI wa Mkoa wa Mtwara, wameishukuru Serikali ya Rais Dk....

BiasharaHabari Mchanganyiko

Serikali kununua mitambo 15 ya kuchoronga miamba

Spread the loveSerikali kupitia Wizara ya Madini imepanga kununua mitambo 15 ya...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Mtanzania aweka rekodi kimataifa kwa kiwanda cha kusafisha dhahabu

Spread the loveIMEELEZWA kuwa Kiwanda cha Kusafisha dhahabu cha Geita Gold Refinery...

Habari Mchanganyiko

MAIPAC kusaidia Kompyuta shule ya Arusha Alliance

Spread the loveTaasisi ya Wanahabari ya kusaidia Jamii za pembezoni (MAIPAC) imeahidi...

error: Content is protected !!