Wednesday , 24 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Wananchi wafunga ofisi za serikali ya mitaa
Habari za Siasa

Wananchi wafunga ofisi za serikali ya mitaa

Spread the love
WANANCHI wa Kata ya Rutende wilayani Uyui mkoa wa Tabora wamefunga ofisi za serikali ya kata hiyo wakipinga uongozi uliopo kwa madai kwamba hauwasaidii. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea).
Tukio hilo limetokea leo tarehe 12 Aprili 2019 ambapo wananchi hao waliifunga ofisi wakishinikiza uongozi uliopo uondolewe na wachaguliwe viongozi wengine.
Mkuu wa Wilaya ya Uyui, Gifti Msuya alilazimika kwenda kuzungumza na wananchi hao katika ofisi za Serikali ya Rutende zilizoko katika Kijiji cha Itaga ili kusuluhisha mgogoro huo.
Wakati akizungumza na wananchi hao, Msuya aliwataka watendaji wa kata hiyo kuwajibika kwa wananchi ili kuepuka migogoro isiyo na lazima.
Aidha, Msuya amewataka wananchi kuacha tabia ya kujichukulia hatua mkononi badala yake wafuate vyombo husika vya maamuzi.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mpwa wa Magufuli mbaroni kwa kusambaza picha za utupu

Spread the loveJESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata...

Habari za Siasa

Serikali kuanzisha mradi wa Gridi ya maji ya Taifa

Spread the loveWaziri wa Maji, Jumaa Aweso amesema katika mwaka wa fedha...

error: Content is protected !!