Friday , 29 March 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Waliotoswa uwaziri wafunguka
Habari za Siasa

Waliotoswa uwaziri wafunguka

Mwita Waitara, aliyekuwa Naibu Waziri wa Muungano na Mazingira
Spread the love

 

SIKU moja tangu Rais Samia Suluhu Hassan aengue mawaziri na naibu mawaziri kutoka Baraza lake, wamemshukuru wakisema, hawawanii urais na au kuunga mkono wanaouwania katika uchaguzi mkuu mwaka 2025. Anaripoti Ibrahim Yamola…(endelea).

Katika mabadiliko ya Baraza hilo yaliyotangazwa juzi, Rais Samia aliwaweka kando mawaziri wanne na naibu mawaziri wawili, ikiwa ni takribani wiki moja tangu alipotangaza mabadiliko hayo.

Rais Samia alisema, mabadiliko hayo yanalenga kuwaweka kando walioanza harakati za kusaka urais, au wanaowaunga mkono katika uchaguzi mkuu wa 2025 ili wakajiandae vizuri.

Mawaziri walioachwa na wizara zao kwenye mabano; ni Profesa Palamagamba Kabudi (Katiba na Sheria), Geoffrey Mwambe (Uwekezaji), William Lukuvi (Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi) na Profesa Kitila Mkumbo wa Viwanda na Biashara.

Naibu mawaziri ni Mwita Waitara wa Ujenzi na Uchukuzi na Profesa Shukuran Manya wa Madini.

Tumezungumza na baadhi yao, Waitara na Profesa Manya.

Nini wamekisema, soma gazeti la Raia Mwema la leo Jumatatu, 10 Januari 2022.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Nani anasema kuna hasara ATCL?

Spread the loveRIPOTI za makusanyo na matumizi ya fedha katika Kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

CAG: Wastaafu, wenza wao chanzo NHIF kufilisika

Spread the loveRIPOTI ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...

Habari za SiasaTangulizi

Vikundi hewa 851 vyalamba bilioni 2.6 mikopo ya halmashauri

Spread the loveVIKUNDI hewa vya wajasirimali wadogo 851 kutoka katika halmashauri 19...

Habari za SiasaTangulizi

Mashirika matano yapata hasara mabilioni ya fedha

Spread the loveMASHIRIKA matano ya Serikali yanayojiendesha kibiashara, yamepata hasara ya mabilioni...

error: Content is protected !!