Thursday , 28 March 2024
Home Kitengo Maisha Afya ‘Waliokuwa na dereva taxi Arusha, hawajaambukizwa COVID-19’
AfyaHabari Mchanganyiko

‘Waliokuwa na dereva taxi Arusha, hawajaambukizwa COVID-19’

Spread the love

DAKTARI Janeth Mghamba, Mkurugenzi Msaidizi wa Kitengo cha Ufutiliaji wa Magonjwa ya Mlipuko katika Wizara ya Afya amesema, watu 27 waliochukuliwa ili kupimwa kama wana maambukizi ya virusi vya corona jijini Arusha, wapo salama. Anaripoti Mwandishi Wetu, Arusha … (endelea).

Amesema, watu walioshukuliwa vipimo ni wale waliobainika kuwa na mawasiliana ama kukutana na dereva wa taksi ambaye alimbeba mgonjwa wa kwanza wa corona nchini.

Mbele ya waandishi wa habari leo tarehe 19 Machi 2020, akiambatana na Dk Faraja Msemwa ambaye ni Mtaalam wa Majanga wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Dk. Mghamba amesema sampuli za watu hao baada ya kupimwa walibaini kutoadhiriwa na virusi hivyo.

“Hawa walikuwa karibu na dereva na baada ya kuchukuliwa vipimo, wamebainika hawajaambukizwa,” amesema

Amesema, licha ya taarifa hiyo ya kutoathiriwa na virusi hivyo, wataendelea kufuatiliwa mpaka watakapopimwa kwa mara ya tatu kama ambavyo WHO iliagiza.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kapinga kuongoza usambazaji wa mitungi ya gesi 10,000 ya Taifa Gas

Spread the loveNaibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga ameahidi kuongoza kwa ufanisi...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wafanyabiashara, wawekezaji China waridhia kuwekeza bil. 800 katika sekta 5 nchini

Spread the loveUJUMBE wa wafanyabiashara na wawekezaji wakubwa kutoka Jimbo la Changzhou...

Habari Mchanganyiko

Bil. 4.42 kumaliza uhaba maji kata 2 Musoma Vijijini

Spread the loveWANANCHI wa kata za Busambara na Kiriba, Jimbo la Musoma...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Soko nepi za watoto lashuka, watu wazima lapaa

Spread the loveKiwanda cha kutengeneza nepi cha Japan kimetangaza kuwa kitaacha kutengeneza...

error: Content is protected !!