Friday , 19 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Wakuu wa wilaya wapya walioteuliwa hawa hapa
Habari za Siasa

Wakuu wa wilaya wapya walioteuliwa hawa hapa

Shaka Hamdu Shaka, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM
Spread the love

RAIS Samia Suluhu Hassan ameteua wakuu wa wilaya wapya 37, kuwahamisha vituo vya kazi wakuu wa wilaya 48 na wengine 55 kubakia kwenye vituo vyao. Kati ya Wakuu wa Wilaya hao 140, Wanawake ni 40 na Wanaume ni 100.  Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea).

Grace Kingalame

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo tarehe 25 Januari 2023 na Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu, wakuu wa wilaya walioteuliwa ni hawa wafuatao; 1.Felician Gasper Mtahengerwa-Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Arusha.

2.Marko Henry Ngu’mbi-Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Longido.

Julius Kalanga

3.Emmanuela Kaganda Mtatifikolo – Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya yaArumeru.

4.Gerald R. Mongella -Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Chemba.

5.Kanali Boniphace Magembe-Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Geita.

6.Leah Lucas Ulaya-Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mbogwe

7.Deusdedith Josephat Katwale – Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya Chato.

8.Grace Henry Kingalame – Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Nyang’halwe.

9.Dkt.Linda Peniel Salekwa – Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mufindi.

10.Dkt. Abel Mwendawile Nyamahanga – Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya yaMuleba.

Mboni Mhita

11.Japhet Mosses Maganga – Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa.

12.Erasto Yohana Sima – Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Bukoba

13.Julius Kalanga Laiser-Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Karagwe

14.Dinah Elias Mathamani-Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Uvinza

15.Dkt.Christopher David Timbuka -Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Siha

16.Amir Mohamed Mkalipa – Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai

17.Kasilda Jeremia Mgeni-Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Same

18.Goodluck Asaph Mlinga -Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Liwale

19.Chistopher E. Ngubiagai-Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilwa

20.Beno Morris Malisa-Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mbeya

Beno Malisa

21.Josephine Keenja Manase-Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kyela

22.Jaffar Mohamed Haniu-Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Rungwe

23.Rebeca Sanga Msemwa-Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Morogoro

24.Shaka Hamdu Shaka – Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa

25.Rachel Stephen Kasanda – Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Magu

26.Hassan Omary Bomboko-Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe

27.Victoria Charles Mwanziva-Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Ludewa

28.Kanali Joseph Samwel Kolombo-Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kibiti

29.Zephania Stephan Sumaye-Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mafia

30.Lazaro Killian Komba-Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kalambo

Jaffar Haniu

31.Dkt.Jane Chacha Nyamsenda-Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya yaSumbawanga

32.Wilman Kapenjama Ndile-Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Songea

33.Mboni Mohamed Mhita-Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kahama

34.Farida Salum Mgomi-Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Ileje

35.Solomon Jonas Itunda-Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Songwe

Goodluck Mlinga

36.Zakaria Saili Mwansasu – Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Uyui

37.Naitapwaki Lumeya Tukai-Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Nzega.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari za Siasa

Mavunde aagiza Perseus kuharakisha fidia Sengerema

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameipongeza Kampuni ya Perseus kwa...

Habari za Siasa

Kigogo Chadema awanyooshea vidole vigogo serikalini kuhusu ripoti ya CAG

Spread the love  MWANACHAMA wa Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Boniface Jacob, amedai...

Habari za Siasa

Wabunge waikalia kooni TAKUKURU Bungeni

Spread the love  BAADHI ya wabunge wamelia na changamoto za utendaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Mpina ataka Waziri Majaliwa ajiuzulu, akosoa teuzi za mawaziri

Spread the love  MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina, amemtaka Waziri Mkuu, Kassim...

error: Content is protected !!