Friday , 29 September 2023
Home Gazeti Makala & Uchambuzi Waangalizi wa uchaguzi watoa neno Kenya
Makala & Uchambuzi

Waangalizi wa uchaguzi watoa neno Kenya

Thabo Mbeki, Rais wa zamani wa Afrika Kusini akizungumza na waandishi wa habari nchini Kenya akiwa kama mwangalizi wa uchaguzi
Spread the love

WAANGALIZI wa uchaguzi wa nje ya nchi ya Kenya wakiongozwa na Rais mstaafu wa Afrika Kusini, Thabo Mbeki, wamepinga yaliyosemwa na mgombea urais kupitia muungano wa NASA, Raila Odinga kuwa uchaguzi haukuwa wa haki, anaandika Irene Emmanuel.

Waangalizi hao wa Jumuiya ya Madola wamesema hayo baada ya kuibika kwa malalamiko yaliyotolewa na Odinga kupitia muungano wa NASA kuwa kumekuwa na udanganganyifu kwenye uhesabuji wa kura kwani fomu 34A haikujumlishwa.

“…Uchaguzi ulikuawa huru na haki, NASA na Jubilee wasubiri Tume imalize kazi ya kujumlisha matokeo hayo.” amesema Thabo Mbeki.

Leo ni siku ya tatu tangu uchaguzi ufanyike huku zikiwa zimebaki siku nne kabla ya matokeo rasmi kutolewa.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Prof Mwafenga ulijiamini katika utendaji wako na degree zako 10 – Maige

Spread the loveKIFO cha Prof Hadley Mpoki Mwafenga- Afisa Usimamizi wa Fedha...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Hii ndio sura halisi ya Rais Samia

Spread the loveKILA zama na kitabu chake. Hizi ni zama za Rais...

Makala & Uchambuzi

Safari ya Siah Malle katika uhandisi inavyoibua vipaji vipya vya wanawake

Spread the loveSiah Malle ni mfano mzuri wa mwanamke ambaye amefanikiwa kuvunja...

Makala & Uchambuzi

Rekodi ya watalii kuandikwa Desemba 2023

Spread the love  WIZARA ya Maliasili na Utalii imesema ifikapo Desemba 2023...

error: Content is protected !!