Friday , 29 March 2024
Home Habari Mchanganyiko Virusi vya corona: Mbio za Mwenge zasitishwa 
Habari Mchanganyiko

Virusi vya corona: Mbio za Mwenge zasitishwa 

Spread the love

RAIS John Magufuli amesitisha mbio za Mwenge na kuagiza fedha zilizotengwa kwa ajili ya kufanikisha zoezi hilo iende Wizara ya Afya kwa ajili ya kununua vifaa na dawa za kudhibiti  janga la mlipuko wa virusi vya Corona. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam … (endelea).

Rais Magufuli ametoa agizo hilo leo tarehe 16 Machi 2020, alipofanya ziara ya kushtukiza ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa barabara za juu Ubungo, jijini Dar es Salaam.

“ Mbio za Mwenge hazitafanyika mpaka tuhakikishe Corona imeisha,” ameagiza Rais Magufuli.

Ugonjwa wa COVID-19 unaosababishwa na mlipuko wa virusi hivyo, unasambaa kwa kasi ulimwenguni, ambapo kwa sasa umeanza kutikisa barani Afrika.

Katika ukanda wa Afrika Mashariki, nchi ya Kenya, Rwanda zimeripoti kuwa na waathirika wa ugonjwa huo. Ambapo zimepiga marufuku mikusanyiko ya watu.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Puma Energy Tz: Watanzania tudumishe amani kuvutia uwekezaji

Spread the loveKAMPUNI ya Mafuta ya Puma Tanzania imewakutanisha wadau mbalimbali katika...

Habari Mchanganyiko

DAWASA waanza utekelezaji agizo la Samia

Spread the loveMamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam...

Habari MchanganyikoKimataifa

Zuma akataliwa kugombea urais

Spread the loveTUME Huru ya Uchaguzi Afrika Kusini (IEC) imemwondoa rais wa...

Habari Mchanganyiko

Mtandao watetezi wa haki za mazingira Tanzania waundwa

Spread the loveMTANDAO wa watetezi wa haki za mazingira nchini Tanzania, umeundwa...

error: Content is protected !!