Friday , 19 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Viongozi wa dini wapewa ujumbe
Habari Mchanganyiko

Viongozi wa dini wapewa ujumbe

Spread the love

 

WATUMISHI wa Mungu, wameitwa duniani siyo kubomoa bali wanatakiwa kujenga ili watu waweze kumcha Mungu na kuachana na maovu. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Mchungaji wa Kanisa la Maisha ya Ushindi lililopo eneo la Kigogo Freshi, Nelius Celemence amesema hayo hivi karibuni, alipokuwa kwenye ibada.

Amesema, mtumishi wa Mungu unapoanza kutoa maneno mabaya yanasababisha waumini kujigawa matokeo yake anabomoa badala ya kujenga.

Celemence alisema, kanisa la leo linahitaji maadili mema hasa kwa vijana, kina baba na mama ambao wanatakiwa kulifuata neno la Mungu litakalowasaidia kuondokana na matendo maovu ambayo hayampendezi Mungu.

“Kanisa la sasa linahitaji maneno mazuri na ya baraka na siyo maneno mabaya ya kuwasema watu na kuwakashifu na kuliponda neno la Mungu,”alisema Celemence.

Pia, aliwataka waumini kutafakari sheria za Mungu ambapo alitolea mfano kitabu cha Zabuni 1:1 hadi wa 6, Daudi anazungumzia kuhusu kukaa mbele ya mwenye mizaha.

Alisema mizaha inaondoa uwepo wa Mungu mfano mtumishi anapokaa.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB Pesa Akaunti yawavutia wakaguzi wa ndani Afrika

Spread the loveUbunifu wa bidhaa bora wa Benki ya NMB pamoja na...

Habari Mchanganyiko

Carbon First, Ruangwa wasaini makubaliano ya biashara ya hewa ukaa

Spread the love  KAMPUNI ya Carbon First Tanzania Limited na Halmashauri ya...

Habari Mchanganyiko

CBE yawakumbuka wenye mahitaji maalum Jangwani

Spread the loveCHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimetoa msaada mbalimbali na...

Habari Mchanganyiko

Mume auwa mke kwa kumchoma visu, ajisalimisha Polisi

Spread the loveJACKSON Kalamji (49), anashikiliwa na Jeshi la Polisi jijini Mwanza,...

error: Content is protected !!