Kajubi amesema waandishi wengi wa Tanzania wamekuwa wanafanya kazi katika mazingira magumu ya ufanyaji kazi zao licha ya tasnia ya habari kuwa na mchango mkubwa katika maendeleo ya kila siku.
Amesema mazingira magumu ya ufanyaji kazi kwa waandishi yamakuwa yakiongeza kila siku licha ya tasnia hiyo kutumika kwa kiwango kikubwa katika harakati za maendeleo ya jamii husika.
Owino Opondo, mwezeshaji katika mkutano huo, amesema kumekuwepo na mazingira ya kupigwa na kudhalilishwa kwa waandishi wa habari bila ya wahusika wanaofanya hayo kuchukuliwa hatua hali iliyojenga hofu kwa waandishi wanapofanya kazi zao.
“Kumekuwepo kwa matukio mengi dhidi ya waandishi na vyombo vyao, ikiwemo kufungwa vyombo vya habari, kutishwa, kuteshwa kwa waandishi, lakini hadi sasa hakuna wahusika waliohusika na vitendo hivyo waliokamatwa,” amesema Opondo.
Mbali hayo Opondo amesisitiza uwepo na weledi kwa waandishi wa habari kwani fani ya habari ni fani kama zilivyo fani nyingine zinazohitaji weledi katika utendaji wake wa kazi.
Spread the loveUbunifu wa bidhaa bora wa Benki ya NMB pamoja na...
By Mwandishi WetuApril 18, 2024Spread the love KAMPUNI ya Carbon First Tanzania Limited na Halmashauri ya...
By Masalu ErastoApril 18, 2024Spread the loveCHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimetoa msaada mbalimbali na...
By Mwandishi WetuApril 18, 2024Spread the loveJACKSON Kalamji (49), anashikiliwa na Jeshi la Polisi jijini Mwanza,...
By Mwandishi WetuApril 18, 2024
Leave a comment