Saturday , 10 June 2023
Home Kitengo Habari Kimataifa Ujumbe wa Amnest kwa Rais Samia huu hapa
Kimataifa

Ujumbe wa Amnest kwa Rais Samia huu hapa

Samia Suluhu Hassani, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Spread the love

 

SHIRIKA la Kimataifa la Kutetea Haki za Binaadamu (Amnesty International), limeshauri Serikali ya Tanzania kutumia kamati ya corona iliyoteuliwa na Rais Samia Suluhu Hassan kushughulikia upatikanaji chanjo. Vyombo vya kimataifa vinaripoti … (endelea).

Katika taarifa hiyo iliyochapwa kwenye mtandano wa shirika hilo, Amnest imesifu hatua ya Rais Samia kutangaza tume ya kushughulikia virusi vya corona (COVID-19), na kwamba matumaini ya kupambana na corona yanaonekana.

Shirika hilo limeripoti kwamba, bado kuna kazi kubwa ya kukabiliana na virusi hivyo Tanzania, na kwamba ni wakati kwa tume hiyo kufanya utaratibu wa kupata chanzo kama ilivyo kwa mataifa mengine.

Taarifa hiyo imeeleza, Tanzania chini ya uongozi wa Hayati John Magufuli, kulikuwa na ukimya wa muda mrefu kuhusu mapambano dhidi ya virusi hivyo.

Amnesty limeeleza, iwapo chanjo hiyo itapatikana, Serikali ya Tanzania inapaswa kuhakikisha inaisambaza katika maeneo mbalimbali ya nchi, na kusiwe na ubaguzi.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Kimataifa

China kutohudhuria mkutano wa Washington, ishara ya kutotoa nafuu ya deni la Sri Lanka?

Spread the love  KUTOHUDHURIA kwa China katika mkutano wa kurekebisha deni la...

Kimataifa

Kagame afumua tena Jeshi, awafuta kazi maofisa zaidi ya 200 wakiwemo majenerali

Spread the love  RAIS wa Rwanda, Paul Kagame, amewafuta kazi Meja Jenerali...

Kimataifa

Urusi imelipua bwawa kuu la umeme nchini Ukraine

Spread the loveSERIKALI mjini Kyiv nchini, Ukraine imeushutumu utawala wa Rais Vladimir...

Kimataifa

Rais Kagame afanyia mabadiliko makubwa jeshi, usalama wa taifa

Spread the loveRAIS wa Rwanda, Paul Kagame amefanye uteuzi wa wakuu wapya...

error: Content is protected !!