Thursday , 28 March 2024
Home Gazeti Habari Uingereza wataabika, nyuzijoto lafikia 40
HabariKimataifa

Uingereza wataabika, nyuzijoto lafikia 40

Spread the love

HALI ya hewa nchini Uingereza inatarajiwa kuwa ya joto kali la kuvunja rekodi leo tarehe 19 Julai, 2022 na kufikia nyuzi 38 za joto.

Mamlaka ya hali ya hewa nchini humo imesema katika baadhi ya maeneo huenda joto likapindukia nyuzi 40 za joto. Inaripoti mitandao ya kimataifa… (endelea).

Baadhi ya shule zimeamua kufunga na watu wanaotumia treni kwa usafiri wameshauriwa kubaki nyumbani.

Aidha, maeneo ya kusini mwa Ulaya yameanza kupata ahueni baada ya wimbi la joto kali lililosababisha mamia ya vifo vya watu mwishoni mwa wiki iliyopita bado wazimamoto wanapambana na mioto ambayo inaendelea kuteketeza misitu.

Wanasayansi wametoa tahadhari, wakisema zaidi ya nusu ya eneo la Umoja wa Ulaya litakabiliwa na ukame.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifa

Mwanaye rais jela miaka miaka 6 kwa dawa za kulevya

Spread the loveMwanawe rais wa zamani wa Guinea-Bissau amehukumiwa kifungo cha miaka...

Habari za SiasaKimataifa

Faye aahidi kuongoza kwa unyenyekevu, wagombea wenzie wakubali yaishe

Spread the loveMgombea wa upinzani Senegal, Bassirou Diomaye Faye anajiandaa kuwa rais...

Habari MchanganyikoKimataifa

Wanafunzi 130 waliokuwa wametekwa nyara waokolewa

Spread the loveZaidi ya wanafunzi 130 wa shule ya msingi LEA na...

Habari MchanganyikoKimataifa

Mgombea upinzani aongoza uchaguzi wa Rais Senegal

Spread the loveMgombea wa upinzani nchini Senegal, Bassirou Diomaye Faye ameonekana kuongoza...

error: Content is protected !!