Tuesday , 30 May 2023
Kimataifa

Uganda kwazidi kuchafuka

Spread the love

MTU mmoja amepoteza maisha na zaidi ya watu 100 wamekamatwa na Jeshi la Polisi nchini Uganda, katika maandamano yaliyozuka kwa ajili ya kupinga kukamatwa kwa mbunge wa upinzani, Robert Kyagulanyi ‘Bob Wine’. Anaripoti Regina Kelvin … (endelea).

Polisi nchini Uganda jana tarehe 20 Agosti, 2018 ilitumia nguvu kuzuia maandamano hayo yaliyofanyika mji mkuu wa Uganda, Kampala.

Katika fujo hizo, waandamanaji hao walichoma moto matairi, waliweka vizuizi barabarani pamoja na kurusha mawe.

Bobi Wine alikamatwa na kushtakiwa kwenye mahakama ya kijeshi wiki iliyopita kufuatia madai kuwa alikuwa anamiliki silaha kinyume cha sheria.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Kimataifa

Mkutano wa Quad Hiroshima waibuka na kutafuta amani na ustawi wa Indo-Pacific

Spread the love  JITIHADA za mazungumzo ya Pande Nne (Quad), hazikuthaminiwa na...

KimataifaTangulizi

Mtuhumiwa wa mauaji ya halaiki ya Rwanda akamatwa Afrika Kusini

Spread the love  MMOJA wa watuhumiwa wakuu wa mauaji ya Kimbari ya...

Kimataifa

Kiwango cha ukosefu wa ajira nchini China chaongezeka

Spread the love  WAKATI kiwango cha ukosefu wa ajira kwa vijana nchini...

Kimataifa

Kampuni za kigeni zahofia kuendelea na biashara China

Spread the love OPERESHENI ya kiuchunguzi inayofanywa na Serikali ya China kwa...

error: Content is protected !!