Friday , 29 March 2024
Home Kitengo Michezo UEFA yapanga makundi Euro 2021
Michezo

UEFA yapanga makundi Euro 2021

Timu ya Ureno ikishangilia ubingwa wa Kombe la Ulaya mwaka 2016
Spread the love

SHIRIKISHO la soka Barani Ulaya UEFA imeendesha droo kwa timu 24 ili kupata makundi kwa ajili ya michuano ya kombe la EURO ambayo inatarajiwa kuchezwa mapema mwakani 2021. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es Salaam … (endelea).

Michuano hiyo ambayo hapo awali ipangwa kuchezwa Juni 2020 na baadae iliahilishwa kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa Covid-19 mpaka 2021.

Makundi hayo ambayo yapo sita na kila kundi litakuwa na timu nne ambapo kila kundi litatoa timu mbili ambazo zitaingia kwenye hatua ya mtoani.

Kwenye kundi A kutakuwa na timu za Uturuki, Itaria, Wales na Uswizi huku kundi B, limesheheni timu za Denmark, Finland, Ubelgiji na Urusi, kwa upande wa Kundi C, kuna nchi za Uholanzi, Ukraine, Austria na Macedonia ya Kaskazini.

Kundi D, kuna timu za Uingereza, Croatia, Scotland na Jamhuri ya Czech, huku kundi E, wapo Hispania, Sweden, Poland na Slovakia na kundi F ambalo la mwisho kuna timu za Ureno, Ufaransa, Ujerumani na Hungary.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Makala & UchambuziMichezo

TFF kuamua hatima ya Amrouche

Spread the loveHATIMA ya Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Adel Amrouche kuendelea...

Habari za SiasaMichezo

Matinyi: Dk. Ndumbaro alifanya utani ukaguzi mechi za Yanga, Simba

Spread the loveMsemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema kauli iliyotolewa na...

Michezo

Gethsemane Group Kinondoni (GGK) waachia video ya Bwana Wastahili

Spread the loveWAIMBAJI maarufu nchini kutoka Gethsemane Group Kinondoni (GGK)SDA wameachia video...

BiasharaMichezo

Gamondi kocha bora mwezi Februari, NBC yamjaza manoti

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambae ni mdhamini Mkuu...

error: Content is protected !!