Saturday , 20 April 2024
Home Habari Mchanganyiko UchaguzI TEF: Moto kuwaka
Habari Mchanganyiko

UchaguzI TEF: Moto kuwaka

Spread the love
NEVILE Meena, Katibu Mkuu wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), amechukua fomu ya kugombea uenyekiti wa jukaa hilo. Anaripoti Hamis Mguta, Dar es Salaam…(endelea).

Katika nafasi hiyo ya uenyekiti wa TEF, Meena anakuwa mgombea wa pili kujitokeza akitanguliwa na Deodatus Balile, kaimu mwenyekiti wa jukaa hilo.

Meena ambaye kwa miaka 12, ameshikilia nafasi ya ukatibu wa jukwaa hilo, amechukua fomu hiyo leo tarehe 11 Mei 2021, katika Ofisi za TEF zilizopo Mtaa wa Mtendeni, jijini Dar es Salaam.

“Kwa muda wote huo nikiwa Katibu wa Jukwaa, nilikuwa natumwa maagizo ili nitekeleze, sasa nataka kwa mawazo yang una nichangie kuendesha jukwaa hili,” amesema Meena.

Fuatana na MwanaHalisi TV katika mahojiano yake na mgombea huyo…

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wauguzi, madaktari 1000 kugawiwa mitungi ya Oryx Gas

Spread the loveKAMPUNI ya Oryx Gas na Taasisi ya Doris Mollel Foundation...

Habari Mchanganyiko

Tanzania yachaguliwa Makamu wa Rais Tume ya Shirika la Hali ya Hewa Duniani

Spread the love  TANZANIA kupitia Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA)...

Habari Mchanganyiko

NEMC yaonya wanaojenga bila tathmini ya mazingira

Spread the loveBARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC),...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB Pesa Akaunti yawavutia wakaguzi wa ndani Afrika

Spread the loveUbunifu wa bidhaa bora wa Benki ya NMB pamoja na...

error: Content is protected !!