Tuesday , 5 December 2023
Home Gazeti Habari za Siasa Uchaguzi Mkuu 2020: Serikali haipaswi kufanya haya
Habari za SiasaTangulizi

Uchaguzi Mkuu 2020: Serikali haipaswi kufanya haya

Spread the love

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) nchini Tanzania, imebainisha mambo matatu yasiyopaswa kufanywa na Serikali wakati wa Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano tarehe 28 Oktoba 2020. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam … (endelea).

 NEC imebainisha mambo hayo kupitia kitabu chake cha Maadili ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani ya mwaka 2020.

Mambo hayo ni; vyombo vya ulinzi na usalama kutumia madaraka yao kukandamiza wagombea, wafuasi au chama chochote cha siasa.

Aidha, vyombo hivyo vitekeleze majukumu yake kwa weledi.

         Soma zaidi:-

Pili; kuingilia au kuzuia isivyo halali mikutano iliyoitishwa na vyama vya siasa au wagombea kwa mujibu wa ratiba za uchaguzi.

Tatu; kumhamisha mtumishi yeyote wa Serikali anayehusika na shughuli za uchaguzi mpaka mchakato wa uchaguzi ukamilike.

Endapo Serikali itaona kuna ulazima wa kumhamisha mtumishi kama huyo ni lazima ishauriane na NEC.

Endelea  kufuatilia MwanaHalisi Online, MwanaHalisi TV na mitandao yetu ya kijamii Facebook, Twitter na Instagram kwa habari na taarifa mbalimbali.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Dk. Biteko: Viongozi tuache alama nzuri katika utendaji wetu

Spread the loveNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko...

Habari za SiasaTangulizi

Chanzo maporomoko yaliyoua 65 Hanang, chatajwa

Spread the loveSERIKALI imesema kumeguka kwa sehemu ya Mlima Hanang ambao ilikuwa...

Habari za Siasa

Baba yake Ole Sabaya ashinda Uenyekiti CCM – Arusha

Spread the loveLoy Thomas Sabaya ambaye ni Baba wa aliyekuwa Mkuu wa...

Habari za Siasa

Serikali yaagiza uchunguzi chanzo maporomoko Hanang

Spread the loveSERIKALI imeagiza uchunguzi ufanyike ili kubaini chanzo cha maporomoko ya...

error: Content is protected !!