Friday , 19 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Tundu Lissu aivuruga serikali ya JPM
Habari za SiasaTangulizi

Tundu Lissu aivuruga serikali ya JPM

Spread the love

SERIKALI imekiiri kuzuiliwa ndege aina Bombardier ( Q400-Dash 8) iliyonunuliwa hivi karibuni kutokana na deni inalodaiwa na kampuni ya ujenzi, anaandika Faki Sosi.

Hayo yameelezwa leo na Naibu Msemaji wa Serikali, Zamaradi Kawawa alipozungumza na waandishi wa habari.

Kawawa amesema kuwa serikali inachukau hatua za kidiplomasia na za kisheria kuhakisha kuwa ndege hiyo inapatikana.

“Hatua zilizochukuliwa ni zuio la Mahakama ambalo linahitaji ndege hiyo isiondolewe mpaka kesi ya msingi itakapoisha.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari za Siasa

Mavunde aagiza Perseus kuharakisha fidia Sengerema

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameipongeza Kampuni ya Perseus kwa...

Habari za Siasa

Kigogo Chadema awanyooshea vidole vigogo serikalini kuhusu ripoti ya CAG

Spread the love  MWANACHAMA wa Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Boniface Jacob, amedai...

Habari za Siasa

Wabunge waikalia kooni TAKUKURU Bungeni

Spread the love  BAADHI ya wabunge wamelia na changamoto za utendaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Mpina ataka Waziri Majaliwa ajiuzulu, akosoa teuzi za mawaziri

Spread the love  MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina, amemtaka Waziri Mkuu, Kassim...

error: Content is protected !!