Friday , 19 April 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Tisa wafariki katika mlipuko wa bomu Somalia
Kimataifa

Tisa wafariki katika mlipuko wa bomu Somalia

Spread the love

 

WATU tisa wamefariki dunia huku wengine kadhaa wakijeruhiwa, katika mlipo wa bomu la kujitoa muhanga, uliotokea kwenye Mji wa Marka, nchini Somalia. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea).

Miongoni mwa waliofariki dunia ni Mkuu wa Wilaya, Abdullahi Wafow na baadhi ya walinzi wake.

Aidha, kundi la wanamgambo wenye itikadi kali la Al-Shabaab, limekiri kuhusika katika tukio hilo.

Hili ni miongoni mwa matukio ya kujitoa muhanga, yaliyopoteza maisha ya watu nchini Somalia ambapo lingine lilitokea katika Mji Mkuu wa nchi hiyo, Mogadishu na kuua watu tisa

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Kimataifa

Majaji kuamua hatima ya Zuma leo

Spread the loveMajaji nchini Afrika Kusini leo Jumanne wataamua ikiwa rais wa...

Habari za SiasaKimataifa

Spika Afrika Kusini ajiuzulu kwa tuhuma za rushwa

Spread the loveSpika wa Bunge la Afrika Kusini, Nosiviwe Mapisa-Nqakula ametangaza kujiuzulu...

Habari MchanganyikoKimataifa

Tetemeko la ardhi laua 7, lajeruhi 800 Taiwan

Spread the loveWatu wapatao saba wamefariki dunia na wengine zaidi ya 800...

error: Content is protected !!