Saturday , 20 April 2024
Home Kitengo Michezo TFF yamtimua Amunike, kutangaza mrithi wake
Michezo

TFF yamtimua Amunike, kutangaza mrithi wake

Emmanuel Amunike, aliyekuwa Kocha wa Taifa Stars
Spread the love

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imesitisha mkataba wa Kocha wa Timu ya Taifa “Taifa Stars” Emmanuel Amunike baada ya timu hiyo kuondoshwa katika hatua ya makundi ya Fainali za Mataifa Afrika (AFCON 2o19). Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Taarifa iliyotolewa na TFF imesema kuwa shirikisho hilo limefikia makubaliano ya pamoja kusitisha mkataba kati yao na Amunike.

TFF itatangaza Kocha wa muda atakayekiongoza Kikosi cha Timu ya Taifa kwa mechi za CHAN.

Makocha wa muda watatangazwa baada ya Kamati ya Dharura ya Kamati ya Utendaji (Emergency Committee) itakapokutana Julai 11,2019.

Mchakato wa kutafuta Kocha mpya umeanza mara moja.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Anza Jumamosi yako na mkwanja wa Meridianbet

Spread the loveJumamosi ya leo ODDS zimekaa kijanja sana ndani ya Meridianbet...

Michezo

Tusua mkwanja na mechi za Ijumaa leo

Spread the love  LEO hii mechi zinaendelea kote na wewe kama unataka...

Michezo

Piga pesa na mechi za EUROPA leo hii

Spread the love Hatimaye Alhamisi ya EUROPA imefika ambapo leo hii mechi...

Michezo

Leo ni leo nani kutinga nusu fainali UEFA?

Spread the love HATIMAYE Jumanne ya UEFA imefika ambapo leo hii michezo...

error: Content is protected !!