Wednesday , 24 April 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Tetemeko la ardhi laua watu 300 Uturuki, Syria
Kimataifa

Tetemeko la ardhi laua watu 300 Uturuki, Syria

Spread the love

 

WATU  300 wamefariki dunia katika tetemeko kubwa la ardhi lenye kipimo cha 7.8, lililotokea leo tarehe 6 Februari 2023, katika mpaka wa nchi ya Uturuki na Syria. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea).

Kwa tukio hilo, imeelezwa kuwa zaidi ya watu 50 katika idadi hiyo wamefariki dunia upande wa Syria.

Waziri wa Mambo ya Ndani wa Uturuki, Suleymon Soylu, amesema miji 10 nchini humo imeathirika na tetemeko hilo, ikiwemo Gaziantep, Kahramanmaras, Hatay, Osmaniye, Adiyaman, Malatya, Sanliurfa.

Pia imeripotiwa kuwa majengo mengi yameporomoka na kwamba timu za uokoaji zimetumwa kutoa msaada kwa manusura wa tetemeko hilo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Kimataifa

Majaji kuamua hatima ya Zuma leo

Spread the loveMajaji nchini Afrika Kusini leo Jumanne wataamua ikiwa rais wa...

Habari za SiasaKimataifa

Spika Afrika Kusini ajiuzulu kwa tuhuma za rushwa

Spread the loveSpika wa Bunge la Afrika Kusini, Nosiviwe Mapisa-Nqakula ametangaza kujiuzulu...

Habari MchanganyikoKimataifa

Tetemeko la ardhi laua 7, lajeruhi 800 Taiwan

Spread the loveWatu wapatao saba wamefariki dunia na wengine zaidi ya 800...

error: Content is protected !!