Friday , 19 April 2024
Home Kitengo Maisha Elimu TCU yafafanua ada ya usajili wanavyuo
Elimu

TCU yafafanua ada ya usajili wanavyuo

Eleuther Mwageni , Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU)
Spread the love

SERIKALI kupitia Tume ya Vyuo Vikuu nchini (TCU) imeviagiza vyuo vikuu kote nchini kutoza kiasi cha pesa kisichozidi Sh. 10,000 kwa kila mwanafunzi atakayeomba nafasi ya kujiunga na elimu ya juu katika vyuo hivyo, anaandika Hellen Sisya.

Edward Mkako, Afisa Habari wa TCU, amethibitisha kuwepo kwa agizo hilo.

“Ni kweli. Agizo hilo limetolewa na serikali leo hii katika maonesho ya vyuo vikuu ambayo yamefunguliwa leo hii katika viwanja vya Mnazi Mmoja,” amesema Mkako na kuongeza:

“Kwa wanafunzi ambayo tayari wameshatozwa zaidi ya kiasi tulichotangaza, tunawaachia serikali, sisi hatuhusiki.”

Agizo hilo la serikali limekuja wakati huu ambao tayari baadhi ya wanafunzi wameshawasilisha maombi yao kwa vyuo kadhaa nchini na kukatwa kiasi cha pesa ambacho kinazidi kiasi ambacho kimetangazwa leo hii na serikali.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

ElimuHabari za Siasa

Walimu 52,551 kupandishwa madaraja mwaka huu

Spread the loveNaibu Waziri wa nchi, Ofisi ya Rais (Utumishi na Utawala...

BiasharaElimu

NMB yatoa vifaa vya ujenzi kwa shule sita Nyasa  

Spread the loveBENKI ya NMB imetoa msaada wa vifaa mbalimbali vya ujenzi...

ElimuHabari Mchanganyiko

GGML yawapa mbinu wanafunzi Geita Boys kufikia malengo ya kitaaluma

Spread the loveKampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imetoa mafunzo maalumu...

ElimuHabari Mchanganyiko

Wanawake GGML wawanoa wanafunzi Kalangalala Sec. kujitambua

Spread the loveKATIKA kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani, Umoja wa...

error: Content is protected !!