Monday , 5 June 2023
Home Kitengo Maisha Elimu TCU yafafanua ada ya usajili wanavyuo
Elimu

TCU yafafanua ada ya usajili wanavyuo

Eleuther Mwageni , Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU)
Spread the love

SERIKALI kupitia Tume ya Vyuo Vikuu nchini (TCU) imeviagiza vyuo vikuu kote nchini kutoza kiasi cha pesa kisichozidi Sh. 10,000 kwa kila mwanafunzi atakayeomba nafasi ya kujiunga na elimu ya juu katika vyuo hivyo, anaandika Hellen Sisya.

Edward Mkako, Afisa Habari wa TCU, amethibitisha kuwepo kwa agizo hilo.

“Ni kweli. Agizo hilo limetolewa na serikali leo hii katika maonesho ya vyuo vikuu ambayo yamefunguliwa leo hii katika viwanja vya Mnazi Mmoja,” amesema Mkako na kuongeza:

“Kwa wanafunzi ambayo tayari wameshatozwa zaidi ya kiasi tulichotangaza, tunawaachia serikali, sisi hatuhusiki.”

Agizo hilo la serikali limekuja wakati huu ambao tayari baadhi ya wanafunzi wameshawasilisha maombi yao kwa vyuo kadhaa nchini na kukatwa kiasi cha pesa ambacho kinazidi kiasi ambacho kimetangazwa leo hii na serikali.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Elimu

Serikali yatoa Sh. 573 mil. kukamilisha wa ujenzi sekondari ulioanzishwa na wanakijiji

Spread the love  SERIKALI kupitia Wizara ya Ofisi ya Rais-TAMISEMI, imetenga Sh....

Elimu

CBE yaja na kozi mpya 16 zikiwemo za ujasiriamali na uvumbuzi

Spread the loveChuo cha Elimu ya Biashara (CBE) kuanzia mwaka wa masomo...

Elimu

SUA kuhakikisha tafiti zinazofanywa zisiachwe kwenye makabati

Spread the love  MRATIBU wa utafiti na machapisho katika kurugenzi ya uzamiri,...

Elimu

Watakaopata Division One St Anne Marie Academy kupewa iphone ya macho matatu

Spread the loveMkurugenzi wa shule za St Anne Marie Academy, Dk. Jasson...

error: Content is protected !!