Tuesday , 23 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Tanesco yaomba radhi, yaeleza huduma za luku zinapopatikana
Habari Mchanganyiko

Tanesco yaomba radhi, yaeleza huduma za luku zinapopatikana

Spread the love

 

SHIRIKA la Umeme Tanzania (Tanesco), limewaomba radhi wateja wake kutokana na ukosefu wa huduma ya ununuzi wa luku kwa njia ya mtandao na kusema, huduma hiyo, inapatikana ofisi zake za mikoa na wilaya. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Huduma hiyo, imekuwa adimu kwa siku ya tatu na leo Jumatano, tarehe 19 Mei 2021, Tanesco imetoa taarifa ikisema, huduma hiyo kwa sasa inatikana ofisi za mikoa na wilaya.

Limesema, wataalamu wa shirika hilo, wanaendelea na kazi ya utatuzi wa manunuzi kupitia njia za kielektroniki.

“Tunaomba uvumilivu wakati wataalamu wetu wakiendelea na kazi kuhakikisha tatizo hilo linatatuliwa,” imeeleza taarifa hiyo ya Tanesco huku ikiongeza “tunaomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza.”

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari Mchanganyiko

NBC yaahidi kuendelea kuunga mkono Serikali za Mitaa

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) imesisitiza dhamira yake ya...

Habari Mchanganyiko

Watuhumiwa 12 wa kilo 726.2 za dawa za kulevya wafikishwa mahakamani

Spread the love  WATUHUMIWA watatu wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kibaha Mkoani...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

Habari Mchanganyiko

GGML yasisitiza kuendelea kuimarisha afya za wafanyakazi

Spread the loveKAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited kwa kushirikiana na kampuni...

error: Content is protected !!