Tuesday , 5 December 2023
Home Habari Mchanganyiko Tahadhari: Mvua kubwa yaja
Habari Mchanganyiko

Tahadhari: Mvua kubwa yaja

Spread the love

MAMLAKA ya Hali ya Hewa nchini (TMA), imeeleza utabiri wake kwamba, kutakuwa na mvua kubwa kwa siku tano mfululizo. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea).

Kesho tarehe 23 Januari 2020, miko inayotabiriwa kunyesha mvua kubwa ni Lindi, Mtwara, Ruvuma na Morogoro Kusini.

Kwa mujibu wa taarifa ya TMA iliyotolewa leo tarehe 22 Januari 2020, imeeleza pamoja na kuwa na mvua hizo, kutakuwepo na upepo mkali pamoja na mawimbi makubwa katika mikoa ya Mtwara, Lindi, Pwani, Dar es Salaam, Tanga, Unguja na Pemba.

TMA imeeleza, mvua hizo na upepo unaweza kusababisha athari ikiwemo uharibifu wa miundombinu, makazi ya watu, shughuli za uvuvi, usafiri na kuanguka matawi ya miti.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

TMA yaagizwa kutangaza mafanikio yao kikanda, kimataifa

Spread the love  KATIBU Mkuu Wizara ya Uchukuzi, Prof. Godius Kahyarara ameiagiza...

Habari Mchanganyiko

NMB yasaidia waathirika wa mafuriko, maporomoko Hanang

Spread the loveWaathirika wa maporomoko ya tope Wilayani Hanang, mkoani Manyara, waliopoteza...

Habari Mchanganyiko

TPF-NET Arusha yaonya jamii ya wafugaji zinazoendeleza ukatili wa watoto na wanawake

Spread the love  MTANDAO wa Polisi wanawake wa Arusha kuelekea siku 12...

Habari Mchanganyiko

Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Greyhorse zasaini mkataba wa bil.7.4

Spread the loveTAASISI ya Mwalimu Nyerere (MNF) imesaini mkataba wa miaka 10...

error: Content is protected !!