Saturday , 25 March 2023
Home Gazeti Habari za Siasa Lijualikali arudi uraiani, Sumaye ampokea
Habari za SiasaTangulizi

Lijualikali arudi uraiani, Sumaye ampokea

Frederick Sumaye, Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani (mwenye suti nyeusi) akiwa Peter Lijualikali, Mbunge wa Kilombero (suti ya kaki) na wanachama wa Chadema wakitoka gerezani Ukonga
Spread the love

FREDERICK Sumaye, Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani, ameongoza viongozi wa Chadema waliofika kwenye gereza la Ukonga kumtoa Mbunge wa Kilombero, Peter Lijualikali, anaandika Pendo Omary.

Lijualikali ametoka gerezani baada ya kushinda rufaa yake jana katika Mahakama Kuu jijini Dar es Salaam, baada ya kuhukumiwa kifungo cha miezo sita na mahakama ya Hakimu Mkazi Kilombero, Januari 11, 2017.

Sumaye alikuwa miongoni mwa vigogo wa Chadema ambao waliwasili gerezani hapo mapema leo asubuhi na kufuata taratibu za kumtoa mbunge huyo wa Kilombelo aliyekuwa anatumikia kifungo chake.

Viongozi hao wa Chadema wakiwa na mawakili wa Lijualikali waliofanikisha kushinda rufaa yake, walifanikiwa kumtoa mbunge huyo na kuendelea na shughuli nyingine.

Related Articles

Habari za Siasa

Rais Samia aagiza iundwe kamati ya pamoja ya Mawaziri mradi wa BBT

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amewaagiza mawaziri kuunda kamati...

Habari za Siasa

Rais Samia apangua makatibu tawala mikoa, ateua Kamishna DCEA

Spread the loveALIYEKUWA Kamishna wa Mamlaka ya Kudhibiti Dawa za Kulevya, Gerald...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

M/kiti bodi ya wadhamini Chadema afariki dunia

Spread the loveMWENYEKITI wa Bodi ya Wadhamini ya Chama cha Demokrasia na...

Habari za Siasa

Zitto: Nikifa Ado atavaa viatu vyangu

Spread the love  KIONGOZI Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe...

error: Content is protected !!