Saturday , 25 March 2023
Home Kitengo Habari Kimataifa Spika wa Bunge Uganda amvaa Rais Museveni
Kimataifa

Spika wa Bunge Uganda amvaa Rais Museveni

Spread the love

REBECCA Kadaga, Spika wa Bunge la Uganda amemwandikia barua Rais Yoweri Museveni akimtaka kuhakikisha kwamba, polisi waliohusika kumpiga na kumjeruhi, Robert Kyagulanyi ‘Bobi Wine,’ Mbunge wa Kyadondo wanachukuliwa hatua. Anaripoti Regina Kelvin … (endelea).

Spika Kadaga ametaka polisi hao wanaodaiwa kuwa baadhi yao ni walinzi wa Rais wa Museveni wanakamatwa mara moja na kuchukuliwa hatua za kinidhamu.

Kassiano Wadri, miongoni mwa wanasiasa waliowekwa kizuizini na Bobi Wine alidai kuwa Mbunge huyo wa Kyadondo alipigwa mara kwa mara na walinzi wa rais ambapo baadhi yao walikuwa wameficha nyuso zao.

Hata hivyo, serikali ya Rais Museveni imekanusha madai hayo ikisema kuwa ni ya uongo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Kimataifa

Rais Tshisekedi amteua kiongozi wa wanamgambo kuwa Waziri wa Ulinzi

Spread the love  RAIS wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Felix Tshisekedi,...

Kimataifa

Raila Odinga: Tutafanya maandamano makubwa mara mbili kwa wiki

Spread the love KIONGOZI wa upinzani nchini Kenya, Raila Amollo Odinga ametangaza...

Kimataifa

Magharibi kuwekeza silaha Indo-Pacific, China yachochea

Spread the love KUVUNJIKA ushirhikiano wa China na Magharibi uliodumu kwa takribani...

Kimataifa

Ruto amlaumu Odinga kujaribu kuanzisha mgogoro kwa mara ya pili

Spread the love  RAIS wa Kenya William Ruto amesema kwamba hatakubali “kutoijali...

error: Content is protected !!