Saturday , 9 December 2023
Home Gazeti Habari za Siasa Spika Ndugai amuelezea mbunge mwenye corona
Habari za Siasa

Spika Ndugai amuelezea mbunge mwenye corona

Job Ndugai, aliyekuwa Spika wa Bunge Tanzania
Spread the love

JOB Ndugai, Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amesema, mbunge aliyekuwa aliyeambukizwa virusi vya corona (COVID-19), ataruhusiwa mda wowote kutoka sasa. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea).

Amesema, mbunge huyo (bila kumtaja jina wala jimbo analotoka), anasubiri kufanyi wa vipimo vya mwisho ili aruhusiwa na hatimaye kuungana na familia yake.

“…hali ya mbunge wa kwanza aliyetangazwa kuwa na maambukizi ya Virusi vya Corona, inaendelea vizuri na kwamba hana dalili zozote za maambukizi hivyo anangoja vipimo vya mwisho ili aweze kuruhusiwa,” amesema Spika Ndugai.

Wiki mbili zilizopita, Dk. Tulia Akson, Naibu Spika wa Bunge, alilitangazia Bunge kuwa mmoja wa wabunge wa Bunge hilo, amepatwa na virusi vya corona.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe: Miaka 62 ya uhuru tujenge upya mioyo yetu

Spread the loveWAKATI Tanganyika ikiadhimisha miaka 62 tangu kupata uhuru, Mwenyekiti wa...

Habari za Siasa

Rais Samia asamehe wafungwa 2,244

Spread the loveRAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amewasamehe wafungwa 2,244, huku akiwabadilishia...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ataka jamii inayohoji mafisadi

Spread the loveRAIS Samia Suluhu Hassan ametoa maagizo juu ya uboreshaji dira...

Habari za SiasaTangulizi

Kapinga: Kukatika kwa umeme siyo hujuma

Spread the loveNaibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema Serikali ipo kazini...

error: Content is protected !!