Wednesday , 17 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Spika Ndugai amuelezea mbunge mwenye corona
Habari za Siasa

Spika Ndugai amuelezea mbunge mwenye corona

Job Ndugai, aliyekuwa Spika wa Bunge Tanzania
Spread the love

JOB Ndugai, Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amesema, mbunge aliyekuwa aliyeambukizwa virusi vya corona (COVID-19), ataruhusiwa mda wowote kutoka sasa. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea).

Amesema, mbunge huyo (bila kumtaja jina wala jimbo analotoka), anasubiri kufanyi wa vipimo vya mwisho ili aruhusiwa na hatimaye kuungana na familia yake.

“…hali ya mbunge wa kwanza aliyetangazwa kuwa na maambukizi ya Virusi vya Corona, inaendelea vizuri na kwamba hana dalili zozote za maambukizi hivyo anangoja vipimo vya mwisho ili aweze kuruhusiwa,” amesema Spika Ndugai.

Wiki mbili zilizopita, Dk. Tulia Akson, Naibu Spika wa Bunge, alilitangazia Bunge kuwa mmoja wa wabunge wa Bunge hilo, amepatwa na virusi vya corona.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Samia arejesha mikopo ya 10%, bilioni 227.96 zatengwa

Spread the loveRAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amerejesha utaratibu wa utoaji mikopo...

Habari za Siasa

Rais Samia amfariji mjane wa Musa Abdulrahman

Spread the loveRais Samia Suluhu Hassan leo Jumanne amempa pole Mwanakheri Mussa...

Habari za Siasa

Nape: Wanasiasa, wanahabari, wafanyabiashara mteteeni Samia

Spread the loveWaziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari na Mawasiliano,...

Habari za Siasa

CAG: TAWA imegawa vibali vya uwindaji bila idhini ya waziri

Spread the loveRIPOTI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali...

error: Content is protected !!