Thursday , 25 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Spika Bunge la Tanzania ajiuzulu
Habari za SiasaTangulizi

Spika Bunge la Tanzania ajiuzulu

Aliyekuwa Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai
Spread the love

 

JOB Ndugai, Spika wa Bunge la Tanzania, amejizulu nafasi hiyo leo Alhamisi 6 Januari 2022. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea).

Ndugai ameandika barua kwenda kwa katibu mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na nakala kuiwasilisha kwa katibu wa Bunge.

Amechukua uamuzi huo baada ya kuwapo kwamashinikizo kutoka kila pande hususan CCM kumtaka kujiuzulu kutokana na kupinga mikopo ya serikali.

https://twitter.com/bunge_tz/status/1479161698774925312

Tayari Ofisi ya Bunge nayo imetoa taarifa kueleza kuwa imepokea barua ya katibu mkuu wa CCM ikieleza nafasi ya spika iko wazi na utaratibu wa kuijaza utatangazwa baadaye.

1 Comment

  • Asante ndugu ndugai hongera kwa uamuzi uo pole kwa yote yaliyokukita ulipo lenga umetereza moyo umekosea sasa hata wale ulikuwa nao wamekukuna kabla jogoo hajawika tazama sasa hadhi yako imeshuka ndani ya chama na nje ya chama tamaa ya madaraka ni mbaya sana

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Prof. Muhongo akomalia matumizi nishati jadidifu kuondoa uhaba wa umeme

Spread the love  MBUNGE wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo, ameendelea...

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

error: Content is protected !!