JOB Ndugai, Spika wa Bunge la Tanzania, amejizulu nafasi hiyo leo Alhamisi 6 Januari 2022. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea).
Ndugai ameandika barua kwenda kwa katibu mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na nakala kuiwasilisha kwa katibu wa Bunge.
Amechukua uamuzi huo baada ya kuwapo kwamashinikizo kutoka kila pande hususan CCM kumtaka kujiuzulu kutokana na kupinga mikopo ya serikali.
https://twitter.com/bunge_tz/status/1479161698774925312
Tayari Ofisi ya Bunge nayo imetoa taarifa kueleza kuwa imepokea barua ya katibu mkuu wa CCM ikieleza nafasi ya spika iko wazi na utaratibu wa kuijaza utatangazwa baadaye.
Asante ndugu ndugai hongera kwa uamuzi uo pole kwa yote yaliyokukita ulipo lenga umetereza moyo umekosea sasa hata wale ulikuwa nao wamekukuna kabla jogoo hajawika tazama sasa hadhi yako imeshuka ndani ya chama na nje ya chama tamaa ya madaraka ni mbaya sana