Wednesday , 17 April 2024
Home Kitengo Michezo Soufiane Rahimin abeba ndoo, aaga rasmi
Michezo

Soufiane Rahimin abeba ndoo, aaga rasmi

Spread the love

 

Mshambuliaji nyota wa Klabu ya Raja Club Athletic kutoka nchini Morocco, Soufiane Rahimi jana tarehe 21 Agosti, 2021 ameisaidia timu yake kutwaa kombe la Mfalme Mohammed VI na kutumia mchezo huo kuwaaga mashabiki wa timu hiyo. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)

Katika mchezo huo ambao Raja walikuwa wakipepetana na Saudi Al Ittihad ya Saudi Arabia, walitoka sare ya bao 4-4 katika dakika 90, kisha wakaenda kwenye penalti ambapo Raja waliibuka washindi kwa penalti 4-3.

Rahimi ambaye anatarajiwa kuelekea kwa mabingwa wa Afrika, Al Ahly ya nchini Misri, aliifungia timu yake mara mbili.

Baada mchezo huo aliomba msamaha kwa mashabiki wa Raja kwa kuondoka klabuni.

Baba Rahimi ambaye ni msimamizi wa vifaa vya klabu anayeonekana pichani akilia baada ya mwanae kuaga.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Leo ni leo nani kutinga nusu fainali UEFA?

Spread the love HATIMAYE Jumanne ya UEFA imefika ambapo leo hii michezo...

Michezo

Anza Jumatatu yako na Meridianbet

Spread the love  IKIWA ni siku nyingine mpya kabisa ya Jumatatu baadhi...

Habari MchanganyikoMichezo

NBC, Yanga wazindua kadi  za kimataifa za uanachama

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) kwa kushirikiana na Klabu...

Michezo

TFF, Amrouche ngoma nzito

Spread the loveVIPENGELE vya mkataba wa kazi aliotia saini Kocha Mkuu wa...

error: Content is protected !!