Thursday , 28 March 2024
Home Habari Mchanganyiko Simulizi kijiji cha maajabu, nyoka mwenye vichwa 12
Habari Mchanganyiko

Simulizi kijiji cha maajabu, nyoka mwenye vichwa 12

Spread the love

 

NI mikasa na maajabu inayoandika historia, katika kijiji cha Kiponzelo mkoani Iringa nchini Tanzania. Anaripoti Hamisi Mguta, Iringa … (endelea).

Kijiji ambacho kina mapango ya ajabu ambayo watu wamekuwa wakisikika kucheza ngoma ndani yake lakini hawakuwahi kuonekana.

Wapo waliotoa ushuhuda wa kupotea juu ya jiwe kubwa, baada ya kwenda kushuhudia kisima kilichopatikana juu ya jiwe hilo ambacho hakijawahi kukauka miaka nenda rudi.

Na inasemekana pia kuna nyoka mkubwa mwenye vichwa 12 ambaye hupiga kelele za ajabu ifikapo mwezi wa Julai kila mwaka.

Ni takriban umbali wa kilomita 54, kutoka Iringa mjini hadi kufika katika Kijiji hiki chenye historia lukuki zitakazokuacha mdomo wazi.

Undani wa simulizi hii, tazama video hii, mwanzo hadi mwisho.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kapinga kuongoza usambazaji wa mitungi ya gesi 10,000 ya Taifa Gas

Spread the loveNaibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga ameahidi kuongoza kwa ufanisi...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wafanyabiashara, wawekezaji China waridhia kuwekeza bil. 800 katika sekta 5 nchini

Spread the loveUJUMBE wa wafanyabiashara na wawekezaji wakubwa kutoka Jimbo la Changzhou...

Habari Mchanganyiko

Bil. 4.42 kumaliza uhaba maji kata 2 Musoma Vijijini

Spread the loveWANANCHI wa kata za Busambara na Kiriba, Jimbo la Musoma...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Soko nepi za watoto lashuka, watu wazima lapaa

Spread the loveKiwanda cha kutengeneza nepi cha Japan kimetangaza kuwa kitaacha kutengeneza...

error: Content is protected !!